Well done Jakaya Kikwete


Nenda kapumzike kwenu Kyela ukale mbasa, umeanza mapambio ya Vasco Dagama unafikiri atakurudisha kwenye ulaji? Ulile kako!
 
Mama akiwa katikati ya JK na Magu ana nafasi ya kufanya vizuri just amuige Mwinyi Zanzibar
 
Mafisadi mnafurahisha kweli kweli
Mlikuwa mnachekelea kama hamna akili nzuri....

Watu wakitekwa na wasiojulikana......
Watu wakiibiwa fedha zao na TRA...
Watu wakibambikwa kesi za uhujumu uchumi...
Watu wakibambikwa kesi za madawa ya kulevya.......
Watu wakiuwawa halafu polisi inasema wamejinyonga.....
Watu wakinyang’anywa kampuni zao.......
Vyombo vya habari kupokwa kutoa habari (not to this extent).......
Ukabila wa vyeo..
Ukabila wa maendeleo....

Halafu bado unakenua kujiita mnyonge.
Akili kumkia wewe!
 
Nenda kapumzike kwenu Kyela ukale mbasa, umeanza mapambio ya Vasco Dagama unafikiri atakurudisha kwenye ulaji? Ulile kako!
Mkuu mimi adui wangu maonezi ya TRA, najitegemea.
Mi sio nyie mnao sukuma makalio kwenye fomu mwezi mzima ili kukinga mkono posho msizostahili.
 
Hata Magu alikuwa akikwama kwenye mambo ya uongozi alikuwa anarudi kwa JK ,Mwinyi ni mzee ,mkapa cha pombe sasa mtu pekee ni JK
 
Ukiwa JIZI na MUUZA NGADA lazima ushughulikiwe!

Kwahiyo ulitaka wakuache?
 
Reactions: ora
Mwendazake kakopa hela nyingi kuliko watangulizi wake wote waliopita unalijuwa hilo?
Hata kama alikopa kazi imeonekana ,wengine walikopa pesa ikaishia kuwanufaisha wao na familia zao, pia aliweza kukomesha yale mambo ya unanijua mimi nani au Rizi kapiga simu.
 
Vita vya panzi; sherehe ya mwewe.
 
Kikwete huyu mtu bhana , daah Mungu ampe maisha marefu Sana Sana ... Nilimchukia Sana by 2015 Ila Kwa sasa nimeona thamani yake kabisa kabisa.. sometimes huwa tunajifunza Kwa Gharama kubwa Sana
Nilikuwa kama wewe!

Mungu anisamehe kwa kosa hilo la kumchukia Kikwete kwa kutojitambua na kukosa uzoefu wa utawala mbovu!

Mungu mbariki sana Mh Kikwete. Kiongozi muungwana.
 
Vipi wasiojulikana walikuwepo?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…