Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,985
Rabda rinatokea Kanda MaarumUna uandishi mbaya mkuu!...' kuria' ndo nini?
Tumemuelewa mkuuUna uandishi mbaya mkuu!...' kuria' ndo nini?
Ashazoea kuliwa 0712 pia itakuwaWaandishi Wa Habari Wa Tanzania Ni Tatizo
Mnawezaje Kuitikia Wito Wa Huyo Mtu Anayejitia Aibu Kwa Kishindo Halafu Jamii Yake Wala Haijashtuka
Mjifunze Kuchagua
Mnapoitwa Na Kuitikia Wito
Huyo Dada Ni Wa Kupuuza
Utashangaa Kesho Eti Hii Nayo Itakuwa
Front Page
Wema Ni Wa Kupuuzwa
Ndiyo Alikuwa Kwenye" Mama Ongea Na Mwanao Campaign "
Jiwe 3 ila anajifanyaga kutakaga 1mHivi kupata mzigo kwa wema unatakiwa uwe na sh ngap
nashangaa!!!!Si ndio sweetheart wa tz...ama???