pamoja na Sinta na yule aliekuwa Miss kinondoni akaja kuwa Miss Tanzania.Wema alikuwa pisi kalii sana miaka ya 2006.
Wizo ashafika hapo hulali sasa hivi[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
Wizo niwacheeeee nilale
Mtamu au mtrrrraaaamu?[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Mwenyewe wizo nimeshangaa Wema anatwaa taji la Miss Tz niko baby class ila now tuko same age [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bongo sihami
"""siku hizi binti ana miaka 19 lakini analimkanda la kukaza tumbo kuficha minyama iliyotepeta""pamoja na Sinta na yule aliekuwa Miss kinondoni akaja kuwa Miss Tanzania.
wale warembo wa wakati ule ambao hata Naibu Mh. Mwana FA aliwaimba walikuwa visu kweli kweli
Tulikuwa tukiokota foreign perdiem za Hayati Mzee Mkapa tulikuwa tunapita pita vyuoni kupambana na msongo wa mawazo
siku hizi binti ana miaka 19 lakini analimkanda la kukaza tumbo kuficha minyama iliyotepeta
Kama hiki kishundruu changu kilivyovimba natamani kukifunga kwa SUSPENDERS kama zile za LISSU.siku hizi binti ana miaka 19 lakini analimkanda la kukaza tumbo kuficha minyama iliyotepeta
mtrrrraaamuu [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji119][emoji119]Mtamu au mtrrrraaaamu?[emoji23]
Wizo anapenda kunikatishia usingizi wangu π€£π€£Wizo ashafika hapo hulali sasa hivi[emoji23]
Uko kumjaza π€£π€£π€£Mtamu au mtrrrraaaamu?[emoji23]
Wizo ntakupasua π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Nasikia umri wake unahesabiwa kwa muda wa masaa kumi na mbili tu ya mchana. Muda wa usiku hauhesabiwiiii.[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Akiii, unaweza kushangaa huyu mwanangu aliyeko tumboni akaja kulingana umri na wemaaa jamooniii [emoji85][emoji85][emoji85]
Suspender za Lissu π€£π€£π€£π€£Kama hiki kishundruu changu kilivyovimba natamani kukifunga kwa SUSPENDERS kama zile za LISSU.
π€£π€£π€£ππmtrrrraaamuu [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji119][emoji119]
Kuna watu wawili huwa wananifurahisha sana kiswahili chao.Uko kumjaza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
π€£π€£π€£ hao watu wana dunia ya peke yao na viswahili vyao, Antonia ndo ana balaa anaandika km ana mafua, wizo km kuna kitu anakisikilizia anakivuta kutoka mbaliKuna watu wawili huwa wananifurahisha sana kiswahili chao.
Huyu wizo na antonnia
Wizo utamu anakuambia utrrraaamu [emoji23]
Antonnia sijapenda anakuambia sijapentraa[emoji23]
Lies..Wema amezaliwa 85 au 86. Nimesoma nae vidudu mwaka 91 kwa ticha( ...jina kapuni). Mimi nimezaliwa 85 May.
Njooni inbox niwakague vishunduAsante kwa maoni yako.
Lakini kishundu changu ni bora kuliko kishundu chako chenye mapele.
Nimejaliwa utrraamu.
Naunga mkono hoja ππHili ni suala lisilo na faida kwa taifa kiasi cha kujadiliwa. Ungekagua passport za wanamichezo si ungezimia? Hata kama kadanganya basi sio mzoefu wa kudanganya kwasababu tofauti ni miaka 2 tu kwenye umri unaodaiwa ni halisi.