Wengi wameonesha kukerwa na uteuzi wa Makonda, si rahisi kumfundisha mtu kumpenda katili aso na hofu ya Mungu

Wengi wameonesha kukerwa na uteuzi wa Makonda, si rahisi kumfundisha mtu kumpenda katili aso na hofu ya Mungu

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Walidhani kila jambo linasaulika, ila ukweli ni kwamba kwa uhalifu uliofanywa enze za RC Makonda hakuna mtu serious atamuunga mkono.

Atumie pikipiki au atembee kwa miguu still nafsi za watu zinakumbuka ukatili wake.

Mapokezi yake yamefanywa na wale wale tuliowaita chawa lakini viongozi serious hata ndani ya chama hakuna aliyejitokeza kumpokea na waliojitokeza wamekwepa camera.

Hii iwe fundisho kwa wale wote wanaamini kutesa ni njia ya kutafuta maendeleo basi hali si hivyo.

Binadamu anayo haki ya kuishi.
 
Walidhani kila jambo linasaulika, ila ukweli ni kwamba kwa uhalifu uliofanywa enze za RC Makonda hakuna mtu serious atamuunga mkono.

Atumie pikipiki au atembee kwa miguu still nafsi za watu zinakumbuka ukatili wake.

Mapokezi yake yamefanywa na wale wale tuliowaita chawa lakini viongozi serious hata ndani ya chama hakuna aliyejitokeza kumpokea na waliojitokeza wamekwepa camera.

Hii iwe fundisho kwa wale wote wanaamini kutesa ni njia ya kutafuta maendeleo basi hali si hivyo.

Binadamu anayo haki ya kuishi.
Kwahiyo Katibu Mkuu wa Chama ni mtu mdogo kwa tafsiri yako
 

Attachments

  • IMG-20231026-WA0349.jpg
    IMG-20231026-WA0349.jpg
    51.7 KB · Views: 3
Walidhani kila jambo linasaulika, ila ukweli ni kwamba kwa uhalifu uliofanywa enze za RC Makonda hakuna mtu serious atamuunga mkono.

Atumie pikipiki au atembee kwa miguu still nafsi za watu zinakumbuka ukatili wake.

Mapokezi yake yamefanywa na wale wale tuliowaita chawa lakini viongozi serious hata ndani ya chama hakuna aliyejitokeza kumpokea na waliojitokeza wamekwepa camera.

Hii iwe fundisho kwa wale wote wanaamini kutesa ni njia ya kutafuta maendeleo basi hali si hivyo.

Binadamu anayo haki ya kuishi.
Wakati wengine wanakumbuka ukatili wake wengine tunakumbuka mema aliyotutendea

"TAFAKARI KWA KINA "
 
Walidhani kila jambo linasaulika, ila ukweli ni kwamba kwa uhalifu uliofanywa enze za RC Makonda hakuna mtu serious atamuunga mkono.

Atumie pikipiki au atembee kwa miguu still nafsi za watu zinakumbuka ukatili wake.

Mapokezi yake yamefanywa na wale wale tuliowaita chawa lakini viongozi serious hata ndani ya chama hakuna aliyejitokeza kumpokea na waliojitokeza wamekwepa camera.

Hii iwe fundisho kwa wale wote wanaamini kutesa ni njia ya kutafuta maendeleo basi hali si hivyo.

Binadamu anayo haki ya kuishi.
Weka takwimu acha blabla
 
Walidhani kila jambo linasaulika, ila ukweli ni kwamba kwa uhalifu uliofanywa enze za RC Makonda hakuna mtu serious atamuunga mkono.

Atumie pikipiki au atembee kwa miguu still nafsi za watu zinakumbuka ukatili wake.

Mapokezi yake yamefanywa na wale wale tuliowaita chawa lakini viongozi serious hata ndani ya chama hakuna aliyejitokeza kumpokea na waliojitokeza wamekwepa camera.

Hii iwe fundisho kwa wale wote wanaamini kutesa ni njia ya kutafuta maendeleo basi hali si hivyo.

Binadamu anayo haki ya kuishi.
Makonda is a dracula
 
Eti linakuja kwa pikipiki.... Hata angekuja kwa p*mbu makonda ni kuzi tu
 
Walidhani kila jambo linasaulika, ila ukweli ni kwamba kwa uhalifu uliofanywa enze za RC Makonda hakuna mtu serious atamuunga mkono.

Atumie pikipiki au atembee kwa miguu still nafsi za watu zinakumbuka ukatili wake.

Mapokezi yake yamefanywa na wale wale tuliowaita chawa lakini viongozi serious hata ndani ya chama hakuna aliyejitokeza kumpokea na waliojitokeza wamekwepa camera.

Hii iwe fundisho kwa wale wote wanaamini kutesa ni njia ya kutafuta maendeleo basi hali si hivyo.

Binadamu anayo haki ya kuishi.
Hakuna wa kuungana na watu wanaosemwa vibaya kwemye jamii?
 
Back
Top Bottom