kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kwani ninyi hamkipendi? sema tupeane tunachokipenda!!Bwana tafuteni Hela,, fanyeni majukumu tuwape mnachokipenda.
Alishataka kuibiwa na MwAnaMkE ,sio anapenda ,mahakama ilisaidia kwamba hanakosaNdiyo maana ana mawazo ya hovyo kuhusu mahusiano na ndoa
Mkuu umemaliza kila kitu!! Halafu ni wanaume wasiojiamini na wasio na kipato cha uhakika ndio hujitahidi kujaribu kujionesha kuwa wana pesa na kuwashawishi wanawake kwa pesa za fasta fasta! akiombwa nauli anaachia hapo hapo!! Mara nyingi mahusiano hayo huwa hayana mwendelezo!! Mwanamume anayejielewa ili amwamini mwanamke kuwa anastahili kuwa mama watoto wake ni kwa kumwangalia kwa mambo madogo madogo kama haya tunayozungumza!!Sijasema wanaume wasiwatunze Wake zao.
Mbona unashindwa kunielewa.
Angalia Kati ya Ronaldo au kina Diamond na watu mashuhuri, wapi wanashoboka na ninyi Wanawake.
Wanawake ndio mnashobo na kina Ronaldo, diamond, na watu wa sampuli hizo. Lakini kamwe Watu kama hao hawawezi babaishwa na Wanawake hasa Wanawake wabinafsi.
Kumhudumia Mkeo hasa asiye mbinafsi ni jukumu la mwanaume yeyote mwenye Akili timamu. Na Mwanamke Bora haoni shida kujitoa kwaajili ya mumewe.
Lakini Wanawake wengi wenye attitude za kimaskini ndio kama ninyi, nauli unayo lakini ATI mpaka utumie. Hakuna Mwanaume WA maana anaweza kuoa Mwanamke wa hivyo, including huyo Ronaldo.
Unapoambiwa Nyuma ya mafanikio ya mwanaume yupo mwanamke tunazungumzia Wanawake wenye sifa nilizozitaja. Sio wanaoshindwa kujilipia nauli na vocha, hao ni kupe wanyonyaji. Ni hasara kubwa
Asipokuelewa na hapo nitashangaa sana!!Dada kwa style hiyo unaweza usipate mwanaume sahihi sio kwamba mwanaume hawezi kutoa hela ya nauli la hasha anachohofia anaweza kukupa usije au akakuona haupo serious ila kwa mwanaume ambaye anaongozwa na hamu ya kufanya ngono ni rahisi kukupa cos ya kutaka utelezi
Sema kikubwa TUTAFUTE HELA!! Wewe tafuta na yeye atafute na kila mmoja awe tayari kutumia hela yake kwa ajili ya mwenzake!! Siyo hela ya "me" ni ya wote halafu hela ya "ke" ni ya kwake tu!! Kwenye jamii wanawake waliokata tamaa ya kuolewa ndio huwadanganya wenzao kuwa "mwanamke huwezi kujilipia nauli kumfuata mwanaume". Kumbe lengo lake ni kuongeza timu ya walioshindikana kuolewa au walioshindwa kuishi na waume zao!!. Kinyume chake utajijengea heshima sana ukionesha kwa vitendo kujitoa kwako kuhudumia mahusiano!!Unajikanyaga unaenda mbele unarudi nyuma....Hapa kikubwa Tafuta Hela.
Tatizo la maskini ni kujaribu kuficha umaskini wake kwa kutoa huduma kama hizo!! Tatizo ni kwamba mahusiano ya dizain hiyo huwa hayana mwendelezo maana hayajajengwa kwenye misingi ya uhalisia!!Kwa kuongezea zaidi, Maskini wengi ndio husomesha wachumba zao.
Wenye Pesa huo muda hawana
Punguza makasiriko.....Hao wanaodanganywa hawana akili?Mimi hapa simuongelei mtu najiongelea mwenyewe....Kwa ufupi tu,Nina uwezo wa kujilipia nauli hata ukisema upo Joberg.,ila msimamo wangu siendi Kwa mwanaume mkoa mwingine au nchi nyingine bila kunitumia nauli... Yaani siwezi pelekea mtu kei Kwa nauli yanguSema kikubwa TUTAFUTE HELA!! Wewe tafuta na yeye atafute na kila mmoja awe tayari kutumia hela yake kwa ajili ya mwenzake!! Siyo hela ya "me" ni ya wote halafu hela ya "ke" ni ya kwake tu!! Kwenye jamii wanawake waliokata tamaa ya kuolewa ndio huwadanganya wenzao kuwa "mwanamke huwezi kujilipia nauli kumfuata mwanaume". Kumbe lengo lake ni kuongeza timu ya walioshindikana kuolewa au walioshindwa kuishi na waume zao!!. Kinyume chake utajijengea heshima sana ukionesha kwa vitendo kujitoa kwako kuhudumia mahusiano!!
Siishi kumplease mtu naishi uhalisia wangu,ye aniweke tu kundi analotaka, who cares?Tatizo linalokusumbua si tatizo halisi, ni tatizo la kisaikolojia tu!! Unaamini kuwa ukitumia nauli yako ni kama umejirahisisha sana, unaona utaonekana kuwa uko desperate, hiyo ni imani potofu!! Kinyume chake, ukitumia nauli yako (kama unayo, kama huna kweli hilo ni suala jingine), kwanza atakuheshimu, pili ataona unajali na kwa kufanya hivyo utavuna zaidi kuliko kama utadai nauli kwanza!! Ukidai dai nauli pengine ni pesa kidogo tu ya taxi kama msimbazi mmoja mwisho wa siku utawekwa kwenye kundi ambalo si zuri sana!!
Endelea kudhani mapaja yanaachwa wazi Kwa ajili ya genye..ukikua utaelewa Kwa Nini yanaachwa wazi.Hapo ndipo unapokosea!! si suala la mchecheto!! tatizo lako ni kudhani kuwa ukienda wewe kwa nauli yako kwa mfano utaonekana kuwa una mchecheto!! Suala la mchecheto liko sehemu zote mbili, watu wazima wanajua hivyo! kujifanya kuwa huwezi kuwa na mchecheto ni uongo ambao wanaoweza kuuamini ni watoto tu!! Hivi wanawake kutembea na suruali zimetobolewa mapajani huo sio mchecheto? kwani wanamtobolea mwanamke mwenzao? Msijifanye hamhitaji wakati mnahitaji sana tu, na wala hilo halina ubaya wowote, na hiyo ndiyo nature kwa maana halisi!!
Endelea kujitafuta bado una safari ndefu.Kwani ninyi hamkipendi? sema tupeane tunachokipenda!!
Wala hapa hakuna makasiriko ila tunapeana mawazo na mitazamo! katika maisha ni vizuri "to think out of the box". Inasaidia kujua mambo mengine ambayo yana faida kwako pia! Sikulaumu maana ni mtazamo wako, ila ukiweza tafakari pia mawazo mbadala!Punguza makasiriko.....Hao wanaodanganywa hawana akili?Mimi hapa simuongelei mtu najiongelea mwenyewe....Kwa ufupi tu,Nina uwezo wa kujilipia nauli hata ukisema upo Joberg.,ila msimamo wangu siendi Kwa mwanaume mkoa mwingine au nchi nyingine bila kunitumia nauli... Yaani siwezi pelekea mtu kei Kwa nauli yangu
Suala si kum-please mtu hata kidogo!! Japo mwisho wa siku wewe kum-please yule ambaye atakuwa mwenza au ambaye sasa ni mwenza wa maisha ni jambo lisiloepukika kama unataka mahusiano yawe na mwendelezo!! Hakuna aliyewahi kufaidi maisha ya kuwa too rigid!!! Flexibility is important for your own good!!Siishi kumplease mtu naishi uhalisia wangu,ye aniweke tu kundi analotaka, who cares?
Halafu nadhani tunazungumzia suala la mahusiano yenye afya yawezayo kuwaweka watu pamoja katika maisha ya kujenga familia!! Sidhani kama tunaongelea suala la uhuni na tamaa!!! Kwa mwenye tamaa ili atimize tamaa zake za muda huyo anaweza kweli kutuma nauli ili atimize tamaa yake!! Lakini mwenye mawazo ya kujenga nyumba hakuiti kwa ajili ya tamaa, na unaweza kushangaa kuwa hata hana mawazo na hayo mapaja kwa sasa!. Ukienda utashangaa atakuongelesha mambo makubwa katika maisha, mipango mikubwa katika maisha halafu mnaagana!! Tatizo kuna vwanawake hudhani shida ya mwanamume ni ngono tu!! Hakuna mwanamume mwenye tamaa ya mapaja atakayekataa kutuma nauli!! Hao wanapatikana sana tuu!!!. Lakini mwanamume aliye makini na maisha, anaangalia mbali zaidi!!Endelea kudhani mapaja yanaachwa wazi Kwa ajili ya genye..ukikua utaelewa Kwa Nini yanaachwa wazi.
Kwa kweli mdogo wangu😅😅hizi ni cross cutting issues
hakuna conclusion
Kama ana mipango mikubwa ya maisha mipango midogo ya nauli haiwezi kumshinda,nyumba huanza na msingi kabla kuezeka..Halafu nadhani tunazungumzia suala la mahusiano yenye afya yawezayo kuwaweka watu pamoja katika maisha ya kujenga familia!! Sidhani kama tunaongelea suala la uhuni na tamaa!!! Kwa mwenye tamaa ili atimize tamaa zake za muda huyo anaweza kweli kutuma nauli ili atimize tamaa yake!! Lakini mwenye mawazo ya kujenga nyumba hakuiti kwa ajili ya tamaa, na unaweza kushangaa kuwa hata hana mawazo na hayo mapaja kwa sasa!. Ukienda utashangaa atakuongelesha mambo makubwa katika maisha, mipango mikubwa katika maisha halafu mnaagana!! Tatizo kuna vwanawake hudhani shida ya mwanamume ni ngono tu!! Hakuna mwanamume mwenye tamaa ya mapaja atakayekataa kutuma nauli!! Hao wanapatikana sana tuu!!!. Lakini mwanamume aliye makini na maisha, anaangalia mbali zaidi!!
Huyu dada kama sio muuza papuchi au ni wale wanawake waliokufa kimaisha yaani jobless na kilichobaki ni matumizi ya Kei yake kujiingizia Uchumi.Punguza makasiriko.....Hao wanaodanganywa hawana akili?Mimi hapa simuongelei mtu najiongelea mwenyewe....Kwa ufupi tu,Nina uwezo wa kujilipia nauli hata ukisema upo Joberg.,ila msimamo wangu siendi Kwa mwanaume mkoa mwingine au nchi nyingine bila kunitumia nauli... Yaani siwezi pelekea mtu kei Kwa nauli yangu
Punguza makasiriko.....Hao wanaodanganywa hawana akili?Mimi hapa simuongelei mtu najiongelea mwenyewe....Kwa ufupi tu,Nina uwezo wa kujilipia nauli hata ukisema upo Joberg.,ila msimamo wangu siendi Kwa mwanaume mkoa mwingine au nchi nyingine bila kunitumia nauli... Yaani siwezi pelekea mtu kei Kwa nauli yangu