Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #201
Mwanamke AKUPENDE? Seriously?
Wakosai 3:18-19
Enyi wake,watiini waume zenu,kwani ndivyo APENDAVYO Bwana.Nanyi waume wapendeni wake zenu msiwe wakali kwao
Waefeso 5:25
Ninyi waume WAPENDENI wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa akajitoa nafasi yake Kwa ajili yake.
Hayo mambo ya sisi kupenda wanaume hatujaagizwa,,,tumeagizwa kuwatii waume zetu.na tutakutii ikiwa Utawajibika.
Paul hawezi kuwa reference nzuri kwenye mambo ya sheria. Tena sheria za mahusiano.
Paulo ni kama Yesu, ishu za mahusiano ya kindoa hatuwezi kumtumia MTU ambaye hana uzoefu wa mahusiano. Na ambaye hajawahi kuingia kwenye ndoa.
Hapo labda uwataje kina Ibrahim, Yakobo, Daudi, Suleiman na wote waliokuwa na familia.
Lakini kina Daniel, Isaya, Yesu, Paulo na wa mfano huo hawawezi kuwa role model wa mambo hayo.