Wengine mnaoa familia gani? Milioni 22 mahari pekeee? Nonsese

Acheni puuzi nyie, uyo binti ni mtoto mdogo au wakati wa tendo alibakwa?
 
Nakumbuka kuna rafiki yangu upande wa wakwe alipoenda kujitambulisha hawakumtaka lakini binti yao kamuelewa jamaa na yupo tayari kuishi naye. Na tofauti yote ilikuwa dini. Mshikaji yeye ni muislam na mwanamke ni mkristu.

Walikuwa hawamjui vizuri bhana! Walidhani wanamkomoa wakampiga mahari ya million 7. Kumbe mshikaji anaimudu.

Wanashangaa mahari hii hapa mwamba kaileta.

Muda mwengine ni njia ya wakwe kukukataa unagongwa mahari kubwa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ