Wengine mnaoa familia gani? Milioni 22 mahari pekeee? Nonsese

Wengine mnaoa familia gani? Milioni 22 mahari pekeee? Nonsese

Ndio madhara ya kutembea na binti na kumzalisha bila kujitambulisha kwao.

Hio sio mahari, ni ada ya kuwadharau wazazi na ndugu wa binti, unatembea na binti yao miaka hadi umemzalisha lakini huendi kujitambulisha kwao, umewafanyia uhuni nao watakupangia mahari ya kihuni, dawa ya moto ni moto.

Kuna mwengine aliweka mkasa wake humu aliambiwa alipie mahari milioni 10 huko Kigoma, alikuwa anaishi na binti Dsm, wana mtoto, jamaa kipindi chote hicho hajawahi kwenda kujitambulisha,
Acheni puuzi nyie, uyo binti ni mtoto mdogo au wakati wa tendo alibakwa?
 
Nakumbuka kuna rafiki yangu upande wa wakwe alipoenda kujitambulisha hawakumtaka lakini binti yao kamuelewa jamaa na yupo tayari kuishi naye. Na tofauti yote ilikuwa dini. Mshikaji yeye ni muislam na mwanamke ni mkristu.

Walikuwa hawamjui vizuri bhana! Walidhani wanamkomoa wakampiga mahari ya million 7. Kumbe mshikaji anaimudu.

Wanashangaa mahari hii hapa mwamba kaileta.

Muda mwengine ni njia ya wakwe kukukataa unagongwa mahari kubwa tu!
 
Back
Top Bottom