Wenye familia na watoto mnawezaje kutazama Runinga nyumbani?

Watoto TV mwisho saa Tano asubuhi,unafugaje mitoto inalelewa na TV kutwa?
 
Pongezi ziende kwa mke wangu kwa kulea wstoto kwa nidhamu ya hali ya juu, the moment nikiingia sebuleni na kukaa wanangu wananiletea renote haraka yule mdogo ananiwashia ch 406 au 224 225 dstv na wanaondoka zao kucheza ps.
 
Ukiwa dingi wa kiafrika unatakiwa uweke chanel ambayo nyumba nzima hawapendi alafu we mwenyewe huangalii unasinzia ila wakibadilisha tu chanel unashtuka usingizi unaisha alafu unawaambia rudisha haraka.
Eeeh hizi ndo zile mshua wamemletea kelele job anatafuta pa kuzimalizia mbaya zaidi iwe kipindi kama hiki mmetoka kumaliza mitihani ukitest ukalale ndo unaitwa we leta matokeo.

Kikubwa mtu ajichanganye tu na hizi ilikuwa sana ma faza wa kitambo huko.
 
Kama mimi ndo mtoto huwa najiskia vibaya sana..
Mfano father yeye akija tuu
""Weka TV iman hapo mnaangalia angalia miziki ndo mnajifunza nini ""

Mda huo mtakaa ndani kimya
Hii tabia naiona sana hata hapa kwa shemeji mume wa dada. Yaani ananikuta naangalia tv yeye anasema tutoe aangalie mahabari.

nanyanyasika sana hapa. Nataka nimuombe dada simu nimwambie mama
 
Kama mimi ndo mtoto huwa najiskia vibaya sana..
Mfano father yeye akija tuu
""Weka TV iman hapo mnaangalia angalia miziki ndo mnajifunza nini ""

Mda huo mtakaa ndani kimya
Hii tabia naiona sana hapa kwa shemeji mume wa dada. Yaani ananikuta naangalia tv yeye anasema tutoe aangalie mahabari.

nanyanyasika sana hapa. Nataka nimuombe dada simu nimwambie mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…