Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo kazi ipo jitahidi uhamie kwako aisee nyumba za kupanga michoshotena nilikopanga huku kwa mnyamani nyumba moja ina room 12 na choo kimoja na bafu moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo kazi ipo jitahidi uhamie kwako aisee nyumba za kupanga michoshotena nilikopanga huku kwa mnyamani nyumba moja ina room 12 na choo kimoja na bafu moja.
Mwenye nyumba wako matawi ya juu au sio??Mwenye nyumba wangu hana hizo tabia.
Mzungu wa roho,kwanza hata kuonana physically hatujawahi.
Anakula zake cake ya taifa huko mji wao,,,na nasikia ana mijengo kama yote.
Bill ikitoka anaiforward.
Ukarabati anatuma fundi wake ndio basi hana usumbufu.
Upo sahihiKujenga ni kazi kubwa sana. Kama ww siyo Mfanyabiashara wa kati /mkubwa kujenga ni KUJINYIMA SANA.
MWAJIRIWA ndo kabisaa labda awe MWIZI.
WAPANGAJI walitambue hilo, hakutakuwa na shida yoyote kila kitu kiwekwe kimaandishi ili kuepuka huo unaouita UMASKINI.
Jaribu kujenga yaani UTOE FEDHA halafu unaletewa MCHANGA!!
UKIMALIZA kujenga weka mpangaji ambaye wewe unamuona ni TAJIRI!
Siku anaondoka ujue, choo utakikuta kichafu hakijulikani ni rangi gani? Masinki ndo kabisaa, vitasa kukuta vizima muombe Mungu.
Hakika mpangaji hajali nyumba yako sasa FIDIA za hayo yote nani anafidia? Mpangaji mpya akija, inabidi umrekebishie yote.
Kupata mpangaji Tajiri na kupata mwenye nyumba Tajiri basi MSHUKURU MUNGU.
Akimiliki nyumba atakuwa kundi la maskini, ngoja aendelee kupangaJenga kwako mkuu
Ana hela zake tayariMwenye nyumba wako matawi ya juu au sio??
Upo sahihi kabisa.Wenye akili kama zako mko wengi sana ndo maana miji yetu inakuwa ya hovyo. Sheria zikizingatiwa kuna watu wengi sana watapoteza nyumba zao. Wengi wamejenga nyumba za hovyo kwenye maeneo yasiyopimwa. Baadae wakivunjiwa ni kilio.
Tuwekee picha zao tafadhaliUkiondoa wale waliorithi ambao mara nyingi ni mafukara na wasiokuwa na mwelekeo wowote wa kimaisha zaidi ya kutaka kuuza mali walizoachiwa, kuna hawa ambao wanaishi kwenye eneo hilo hilo ambapo wamepangisha. Kodi ya jengo kaweka kwenye luku ya wapangaji na sio kule kwake.
Bili ya maji hataki watu walipie moja kwa moja kwenye control number ila kila mmoja amtumie kwenye simu pamoja na ya kutolea.
Ukiangalia hela yenyewe anayopata extra haifiki hata elfu ishirini.
hakuna mtu anayependa shida ila hatuna namna tunavumilia tu.[emoji23][emoji23][emoji23] hapo kazi ipo jitahidi uhamie kwako aisee nyumba za kupanga michosho
Jengeni nyumba nyambaf....Upo sahihi kabisa.
Tuma salam kwa ndugu wawili
Ni yule aliyeficha control number.Huyu ni nani? Anahusiana vipi na huu uzi?
Kimfaacho mtu chake.Na wewe jenga nyumba ya kwako then jipangie ka utaratibu kako.Ukiondoa wale waliorithi ambao mara nyingi ni mafukara na wasiokuwa na mwelekeo wowote wa kimaisha zaidi ya kutaka kuuza mali walizoachiwa, kuna hawa ambao wanaishi kwenye eneo hilo hilo ambapo wamepangisha. Kodi ya jengo kaweka kwenye luku ya wapangaji na sio kule kwake.
Bili ya maji hataki watu walipie moja kwa moja kwenye control number ila kila mmoja amtumie kwenye simu pamoja na ya kutolea.
Ukiangalia hela yenyewe anayopata extra haifiki hata elfu ishirini.
Umeongea point mkuu.Kunywa ka Balimi kamoja kwa bili yanguKujenga ni kazi kubwa sana. Kama ww siyo Mfanyabiashara wa kati /mkubwa kujenga ni KUJINYIMA SANA.
MWAJIRIWA ndo kabisaa labda awe MWIZI.
WAPANGAJI walitambue hilo, hakutakuwa na shida yoyote kila kitu kiwekwe kimaandishi ili kuepuka huo unaouita UMASKINI.
Jaribu kujenga yaani UTOE FEDHA halafu unaletewa MCHANGA!!
UKIMALIZA kujenga weka mpangaji ambaye wewe unamuona ni TAJIRI!
Siku anaondoka ujue, choo utakikuta kichafu hakijulikani ni rangi gani? Masinki ndo kabisaa, vitasa kukuta vizima muombe Mungu.
Hakika mpangaji hajali nyumba yako sasa FIDIA za hayo yote nani anafidia? Mpangaji mpya akija, inabidi umrekebishie yote.
Kupata mpangaji Tajiri na kupata mwenye nyumba Tajiri basi MSHUKURU MUNGU.
Ee hbr ndio hiyo.Sio Dar tu ni kote.Sasa km una nyumba kwanini uje upange kwangu?.Wenye nyumba hapa Dar huwa wakiona mtu anapanga wanadhani hana nyumba.
Mamaeee 😀 😀 😀tena nilikopanga huku kwa mnyamani nyumba moja ina room 12 na choo kimoja na bafu moja.
Nilitegemea kukutana na hii comment.Jenga kwako mkuu
nyambaf ni mzee wako aliecha kutumia kinga kupelekea kuzaliwa upuuzi kama wewe. Soma comment yangu ya awali aliejibu ndio uje kukurupuka hapa.Jengeni nyumba nyambaf....
Pia huna kiwanja wala shambaHalafu wengi hapa Dar ukipanga kwake wanahisi hauna nyumba..
Kila mpangaji Ana sababu yake iliyomfanya mpaka akaenda KUPANGA.Wenye nyumba hapa Dar huwa wakiona mtu anapanga wanadhani hana nyumba.
Hongera, mwenzetu unaweza kujenga nyumba kila utakapo hamishiwa kikazi.Si ujenge kwako ili kuondokana na hizo changamoto?Nyumba yake mwache ajiwekee masharti yake ukiona magumu hamia kwako.Eti wenye Nyumba maskini unamjua maskini wewe?