Wenye umri wa miaka 35 hamjaoa na hamna hamu ya ndoa njooni tujadili

Mkuu ni kuoa na siyo kuowa
 
CHAMA KUBWA 36YRS NOW
 
Hata muoaji anaweza kuwa mkosi kwa mke wake
Anaweza kuwa na gubu
Anaweza kuwa mzinzi
Anaweza kuwa anamtegemea mke
Anaweza kuwa hana nguvu za kiume
Anaweza kuwa SHOGA
Olewa tu, utapata mojawapo ya hayo au haya
1. Mume bora akutunze na watoto wako kiuchumi na kimwili
2. Mume asiebeba majukumu na mzembe asie na future
3. Mume katili na asie mwelewa
Pamoja na yote hayo ila atakupea jina zuri la mke wa mtu uliestaarabika na akikuacha unasepa na nusu ya mali zake
 
Kataa Ujambazi
Tokomeza Ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…