Wenye ushahidi namna Paul Makonda alivyohusika kwenye utekaji, mauji na upigwaji risasi Lissu tuwekeeni hapa. Kuchafuana kisiasa ni ushamba

Ubalozi wa Marekani uliudhiwa na kitendo cha Makonda kusema mashoga wote watatafutwa popote walipo Dar ili washatakiwe au wafukuzwe kutoka jiji hilo.
Hiyo haikuwa sababu tosha ya kumzuia asikanyage Marekani yapo mengi
uchawa ulimzidi
 
Ubalozi wa Marekani uliudhiwa na kitendo cha Makonda kusema mashoga wote watatafutwa popote walipo Dar ili washatakiwe au wafukuzwe kutoka jiji hilo.
Kqbisa kaka

Maana hawakusema lolote jamaa alipovamia clauz pale ubalozi ulitulia kimya.

Ila alipogusia ushoga ubalozi ukaona ohoooo jamaa anazingua.
 
Ubalozi wa Marekani uliudhiwa na kitendo cha Makonda kusema mashoga wote watatafutwa popote walipo Dar ili washatakiwe au wafukuzwe kutoka jiji hilo.
Kqbisa kaka

Maana hawakusema lolote jamaa alipovamia clauz pale ubalozi ulitulia kimya.

Ila alipogusia ushoga ubalozi ukaona ohoooo jamaa anazingua.
 
Mwacheni kijana wa watu apumzike maana hakuna mkamilifu hapa chini ya jua
 
Ulitaka aseme nani ndiyo iwe kweli? Baadhi ya wananchi wamesema, unasema siyo kweli. Baadhi ya maafisa wa TISS wamesema, unasema siyo kweli. Lisu amesema, unasema siyo kweli. Wamarekani wamesema, unasema siyo kweli. Unataka aseme nani ndiyo iwe kweli?

Subiri siku atakapopelekwa mahakamani kwa makosa ya mauaji, ukamtolee ushahidi kuwa siyo kweli.
 

Ukiona mtu anaomba ushahidi ujue anajishtukia.
 

Wewe ndio kilaza ushahidi unatolewa mahakamani kwenye kesi. Sio Hapa JF.
 
Hizo ni assumption mbovu tu.

Assumption mbovu kivipi. Utaombaje ushahidi wakati hujafunguliwa kesi?. Kama hujafanya tulia, mambo ya kuomba ushahidi wakati hakuna aliyekushtaki inafanya tukuhisi una tatizo
 
Makonda mwamba. Hapa tu ndo nawasfu akina ngosha. Wanajiamini balaa.
Chenge, Makonda + Jiwe.

Hivi Mpina naye ni ngosha nini? Msukuma wa Geita naye pia?

Viva ngoshas.

Narudi usafani

Nakujiamini kote hawapo kwenye system. Kuna wanaojiamini zaidi yao. Ndio maana huyo jiwe wako alifichwa akashughulikiwa kimya kimya, halafu baadae mkatangaziwa msibaa
 
Mbona mnawahi
Mbona mnawahi kabla ya muda? Subirini, jinai haifi.
 
Sasa unafikiri kuwa Marekani ilimpiga marufuku kuingia nchini humo kwa sababu ya chura kubwa?πŸ’πŸ’πŸ’
 
N
Naye muda wake ukifika Mambo yote yatawekwa wazi.
 
Hapa US, , deep state ni kina bush, obama, jimmy carter, warren buffet, etc
Naona huko ni walio wahi kuwa madarakani.
Vipi huko Us Deep State yao inajumla ya member wagapi?
Uongozi wao ukoje ukoje, huwa wanajiongozaje?
 
Tafuta pale youtube statement ya Bashite akiwaambia waandishi wa habari kwamba Roma Mkatoliki atachiliwa soon. It means alikuwa anajua waliomteka na siu watakayomwachia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…