Wenye uzoefu wa kuishi kwa ndugu nipeni muongozo

Unaonaje ukirudi kwenu?
Ukipewa ugali wao wanakula nini?
Wanakula kitu kingine? Kama wanakula unachokula basi binafsi wageni wa aina Yako ni wapumbavu tu.
 
Vyovyote vile, ukishakua unaishi kwa watu jitahidi kufata taratibu zao muende sawa vinginevyo hakuna rangi utaacha ona.
Kuishi kwa kaka ni mtihani mzito...lazima ajipendekeze kwa mkewe..
 
Unaonaje ukirudi kwenu?
Ukipewa ugali wao wanakula nini?
Wanakula kitu kingine? Kama wanakula unachokula basi binafsi wageni wa aina Yako ni wapumbavu tu.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sasa mambo ya chakula yamekujaje hapa? Wewe fanya issue yako uondoke vinginevyo Rudi kwako ukale wali ukisubiri issue yako.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mkuu mtu anayelia lia kuhusu msosi maana yake hana hata uwezo wa kujimudu.
Ukienda kwa watu ukapewa heshima ya kulala pekee inakutosha wewe kula hoteli rudi umeshiba ulale tu.
 
ukitaman wali chukua buku mbili yako nenda mgahawa mzuri kajipigie zako wali rudi nyumbani.

kuhusu mtoto we ni aunty yake. siku moja moja unamshikia kiboko unampa za kutosha....ataanza kuheshimu vitu vyako.

Kuhusu shemela kusema ufanyi kazi, ni kwa sababu anakuona umekaa kilege lege...we changamka tu humo ndani penye kukwaza kwazika mhineshe kabisa penye kufurahi na kuchekesha cheka nae! Yani kuwa active tu humo ndani.

Ataacha kukuandama then heshima itafata
 
Looh miwani ni almost 260,000 kwa fresh graduate siez afford kwa haraka hivo

Charge ya iPhone ni almost 15k huoni ni hasara

nimesema yeye cuz ana uwezo mkuu pia ni mtoto wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…