Huyu anatoka kigomaMulio ni kitu gan?
Mukawapata?
Munajua ?
Muliwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu anatoka kigomaMulio ni kitu gan?
Mukawapata?
Munajua ?
Muliwa?
Nimemghairi bhana, mke mwenyewe yupo kama bendera tu anapeperushwa na upepo, bora nguvu zangu nihamishie kwa Ephen_ kesho naleta simulizi humu maana nasikia anapenda simulizi🏃🏿🏃🏿 Qashy Lilith uje kwa bwana wako utulie😂
Wazo zuri mkuu😂 utani tagNimemghairi bhana, mke mwenyewe yupo kama bendera tu anapeperushwa na upepo, bora nguvu zangu nihamishie kwa Ephen_ kesho naleta simulizi humu maana nasikia anapenda simulizi
Usiwaze kiongoziWazo zuri mkuu😂 utani tag
Shemeji unazingua ujue?unajifanya uko single?Tupeane uzoefu wakuu, inauma sana unaweka chapisho lako kuhusu mambo ya kilimo mtu anakuja kuchati na demu wake, mara mashemeji, mara mawifi, hivi hawa mademu zenu mliwezaje kuwapata?
Mwisho kabisa kama kuna demu mnamfahamu kuwa yuko singo humu nishtueni nianze kumlia doria.
Haya bhana.Uzi umefunguliwa jana ila tayari page 23
Huku hakuna mpenzi unatafuta mama zako kijana? Kuwa makini sana usije kumtongoza mshangazi wangu
Unanitisha sasa maana nina ugonjwa wa kupenda mwanamke mrembo.Hata mimi ni wa huko huko
Shemeji yako kwa nani! Kivipi yani au kuna mtu ananitaka huko na hamniambii, mbona sielewi hapa!Shemeji unazingua ujue?unajifanya uko single?
Typing errorMulio ni kitu gan?
Mukawapata?
Munajua ?
Muliwa?
Ukishaona pm imepigwa kufuli jiongeze watu wako india.Kumbe mnapata wapenzi humu
Watu wana Siri
Au umeshaanza kumzimikia? Nimepata wivu nimeumia sanaHaya bhana.
kah! umeamua kumchinjia mwamba bahariniShemeji unazingua ujue?unajifanya uko single?
Umeanza eeeh🤣Au umeshaanza kumzimikia? Nimepata wivu nimeumia sana