Wewe endelea hivyo hivyo kusema " Mimi situmi nauli"

Wewe endelea hivyo hivyo kusema " Mimi situmi nauli"

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Kila uamuzi una gharama zake. Gharama za kutotuma nauli ni kubwa maradufu ya gharama za kutuma nauli

Wakati wewe ukisema hutumi nauli, akina DeepPond wanatuma nauli ya laki umbali wa nauli ya buku tena na ya kutolea juu.

# Ukiona jamaa anaenjoy na demu mkali, jua katuma nauli na ya kutolea..
mwaisa__mtumbad_1655887083114.jpg
 
Kila uamuzi una gharama zake. Gharama za kutotuma nauli ni kubwa maradufu ya gharama za kutuma nauli


Wakati wewe ukisema hutumi nauli, akina DeepPond wanatuma nauli ya laki umbali wa nauli ya buku tena na ya kutolea juu.


# ukiona jamaa anaenjoy na demu mkali, jua katuma nauli na ya kutolea..
Huyu huyu DeepPond yuko luhansk sasa hivi akmpigania Putin?
 
Na tunaokula nauli inakuaje 😅😅

Unakula nauli kwa sababu hujatumiwa " nauli" . Nauli is a code name

Mimi ukiniomba nauli, umbali wa mia tano nakutumia laki na 28 utoe laki na ishirini kamili, ili upite na saluni kabisa. Halafu nikisha kutumia sikuulizii kama umeipata wala nini. Nakuulizia ili iweje wakati umeshaniambia jina lako na mpesa au tigopesa wameonyesha hela imekuja kwako.

Wala siku ulizi ulizi unakuja saa ngapi. Na usipo kuja wala sikutafuti.

Next time lazima utanitafuta tu this time utakuja ukiwa more serious kwa lengo la kunishawishi kwa vitendo ili niwe nakupa zaidi ya nauli
 
[emoji16] kweli kabisa. Waache wabaki na pesa zao.. waendelee kula nyasi.
 
Unakula nauli kwa sababu hujatumiwa " nauli" . Nauli is a code name

Mimi ukiniomba nauli, umbali wa mia tano nakutumia laki na 28 utoe laki na ishirini kamili, ili upite na saluni kabisa. Halafu nikisha kutumia sikuulizii kama umeipata wala nini. Nakuulizia ili iweje wakati umeshaniambia jina lako na mpesa au tigopesa wameonyesha hela imekuja kwako.

Wala siku ulizi ulizi unakuja saa ngapi. Na usipo kuja wala sikutafuti.

Next time lazima utanitafuta tu this time utakuja ukiwa more serious kwa lengo la kunishawishi kwa vitendo ili niwe nakupa zaidi ya nauli
Aisee[emoji23]
 
Ukiona vp unamnunulia ki ist ili usipoteze hela kila mara, pga hesabu kwa mwaka unamtumi hiyo 128k ukiimake jeee

U got it wrong. I don't do this every day and for every one. Haya ni matukio ambayo unaweza kuyafanya walau mara moja kwa mwaka. Si kila mwanamke ana stahili kutumiwa nauli. Ukiona natuma.hivyo basi jua her physical descriptions have matched with the darkness part of my heart. So I want her by swords , clubs and bullets.
 
Back
Top Bottom