Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaha nitatupiwa porini ilo nalijua kabisahapo ukishitukiwa uchague moja kazi au mapenzi
Hamna huyu jamaa anaonekana ni churchboy ambaye ni muogamuoga... Inaonekana huyo demu anaweza enda geto kwake na akatoka na hamu zakeUnaomba ushauri kwa wanaume wenzako ambao nao wanapitia changamoto kama yako.😂
Bhebhe numbiHakupendi ,usilazimishe mahusiano
Sawa boss naichukua hiiMkuu unaboa kinyama mkaushie,atakuja kukusumbua sana.
Ahaha unataka kunirudisha 4m2Ukirudi Leo gheto ukimaliza kujipikia ugali bamia, chukua mtindi wa buku, karanga mbichi na mihogo wa jero alafu satano
Nenda pembeni ya ukuta vuta picha huyo demu mpigie nyeto Ata mbao mbili alafu bado ya hapo "utajua mwenyewe kama ni "exit" ama" continue"
Uje uwe mshenga bossAcha uhuni, nenda kwao utambulike. Mtachezea watoto wa watu mpaka lini!?
Kwa leo naomba nisiongee chochote
Unataka akuambiaje kuwa hakutakiHellow
Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa
Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje
Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi
Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
mpaka akuambie kuwa akutaki live?Hellow
Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa
Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje
Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi
Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
Hahahahahaha Fala kweli wewe .Hellow
Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa
Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje
Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi
Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
Mtenge kabisa atajileta mwenyeweHellow
Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa
Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje
Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi
Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
ghashi Numbi wako Kaya ise ale nsukuma o mwanike mweneyo?Bhebhe numbi
Kimya nalo ni jibuHellow
Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa
Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje
Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi
Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
Unataka akuambiaje kuwa hakutaki
mpaka akuambie kuwa akutaki live?
Af hapa ananidai zawadiHahahahahaha Fala kweli wewe .
Hiyo K yake Kuna muhuni anaichakaza daily.
Pesa unayomtumia ndio nayeye huitumia kama Nauli kumpelekea muhimu wake papuchi
Sawa sawaMtenge kabisa atajileta mwenyewe
Sawasawa.Uje uwe mshenga boss
Nishamwambia sio kwamba hajui anajuaMwaka mzima namfukuzia manzi nimekua bubu😂
KumbeKimya nalo ni jibu