Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ata wewe ni mzuri? weka kapicha tukutazame kidogoWewe nasikia unatafutaga wadada wazuri ili uzae nao 🤧🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata wewe ni mzuri? weka kapicha tukutazame kidogoWewe nasikia unatafutaga wadada wazuri ili uzae nao 🤧🤣
na haya ndio madhaifu yenyewe aliyovumilia huyo mkaka wa JFAtakua alikutana na kitu kama hiki 😁
Ukibisha tuma picha
View attachment 3237007
Mwachiluwi kuna dada kamis penzi lako huku
Mimi ni kabaya mkuu sitazamiki mara2 🤧Ata wewe ni mzuri? weka kapicha tukutazame kidogo
Nimekondaa sasa hivi 🤣🤧🤧😂na haya ndio madhaifu yenyewe aliyovumilia huyo mkaka wa JF
Tutakuwa tunazima taaMimi ni kabaya mkuu sitazamiki mara2 🤧
Mumbe jf true love ipo.Salaam nyingi kwenu wana jf… niliwamiss sana humu ndani
Leo bhn nimeleta confession yangu juu ya huyu Kijana nilikutana nae humu jf..
Nichukue nafasi Hii kukushukuru sana kwa kuwa na mimi katika kipindi kigumu nilichopitia.. pamoja na madhaifu yangu uliweza kunivumilia hivyohivyo.
Mara ya kwanza sikuwa na feeling’s zozote kwako.. ilikuwa nataka tu pa kupumzisha moyo ila at the end unanifanya nikakupenda kiukweli ukweli ( wanawake huwa inachukua muda mrefu kumpenda mwanaume)
Ila umeniangusha mno wakati mimi ndio nazama kwako wewe ukaibuka ukaacha tena kunipenda..
Nataka nikwambie nakumiss sana na nakupendaa sana.. Kama itatokea Mungu akasema nichague mwanaume wa kuwa nae ningekuchagua wewe mara 100
Nakusubirii umalize ujana tuwe wote pamoja
Happy valentine’s my dear Kaka mnyakyusa
It’s me your Brinn 😍
🙄🙄🙄😎Tutakuwa tunazima taa
Jichanganye 😂😂😂Mumbe jf true love ipo.
Najichanganya thu nitapata mapenzi ya kweli here here jfJichanganye 😂😂😂
Bujibuji Simba Nyamaume goma lako linakulikia huku, hebu rudisha moyo wako nyuma mzeeSalaam nyingi kwenu wana jf… niliwamiss sana humu ndani
Leo bhn nimeleta confession yangu juu ya huyu Kijana nilikutana nae humu jf..
Nichukue nafasi Hii kukushukuru sana kwa kuwa na mimi katika kipindi kigumu nilichopitia.. pamoja na madhaifu yangu uliweza kunivumilia hivyohivyo.
Mara ya kwanza sikuwa na feeling’s zozote kwako.. ilikuwa nataka tu pa kupumzisha moyo ila at the end unanifanya nikakupenda kiukweli ukweli ( wanawake huwa inachukua muda mrefu kumpenda mwanaume)
Ila umeniangusha mno wakati mimi ndio nazama kwako wewe ukaibuka ukaacha tena kunipenda..
Nataka nikwambie nakumiss sana na nakupendaa sana.. Kama itatokea Mungu akasema nichague mwanaume wa kuwa nae ningekuchagua wewe mara 100
Nakusubirii umalize ujana tuwe wote pamoja
Happy valentine’s my dear Kaka mnyakyusa
It’s me your Brinn 😍
😂 Si ndio.Ni utani tu wamama nawaelewa sana kutokana na joto kali...sio wasumbusu wanachotaka uwaridhishe tu 😊
Sasa huoni km unazidi kuteseka mahi 🥹Siweziii
Sio ID yenye drama...kwanza inashinda jukwaa moja ama mawili tu tangu niifahamu
Achana naye nenda na hiyo hiyoSina ila nitatengeneza mpya
Nimefanya nini tena jamani 😅shemela Kuna mtu kasema uchapwe!