Wewe mwanamke mwenzangu achaga hizi mambo utazaa kabla ya muda wako

Wewe mwanamke mwenzangu achaga hizi mambo utazaa kabla ya muda wako

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,778
Reaction score
21,010
Wana wa mama tozo hopeful mnapambana ipasavyo...

Basi bwana mwezi uliopita nikiwa benk flan ya kikulima kikulima nikakutana na ndugu yangu kwenye ukoo tulipotezana mda sana. Huyu ndugu alikuwa na mkewe pamoja na rafiki wa mkewe. Hawa wanawake wote walikuwa na vibendi vikubwa tu vya kujifungua Leo kesho.

Kutokana na foleni kwenye benk hii hasa mwisho wa mwezi tukajikuta tumeshazoeana na hawa wanawake wawili as if tunajuana mda mrefu na story zikaanza kunoga.

Heeeeh huku na huku yule rafiki wa mke wa ndugu yangu akachomekea ishu za kumtrak mumewe ajue alipo, akawa anajisemea ngoja nichek kama yuko ofisini au ametoka. Kumbe bwana amefunga sijui ndo gprs au ndo nini (me sikutaka hata kujua kilichofungwa na kwamba kimefungwa kwenye gari au kwenye simu). Akawa anajisemea Leo atanitambua na atasema hapa alikuwa wapi....?

Kweli wanawake ndo tumefikia kuwafanyia wanaume hivi ili kuwalinda wasichepuke? Nilimhurumia bi dada na tumbo lake lililochomoka, nikajisemea huyu anataka kuzaa kabla ya majira yake, mambo gani ya kuchungana kama ng'ombe jamanii? Na wewe mwanaume na ndevu zako unakubali kabisa kutrakiwa?

Mwanaume akiamua kutulia anatulia mwenyewe ila sio kwa kuwa anachungwa, na pia mwanaume akitulia ni kwamba atapunguza list ya wanawake atabaki na mmoja hivi...yani hapo ndo ametulia.

Hivi wanawake wa ndoa mbona mnajipaga stress, mmegeuka mapolisi kwa wanaume zenu yani hawapumui hawana tena ule uhuru kabisa, kifungo kifungo kweli.

Me mambo ya kuchungana kwa style hii asee nanyoosha mikono juu.
 
Me tumekuwa viumbe adimu sana na value yetu inapanda kila siku, tunafungiwa "car track" ili tusitumike kinyume na matarajio ya mwenye mali.
Haya bwana ni uchaguzi mmefanya
 
Me tumekuwa viumbe adimu sana na value yetu inapanda kila siku, tunafungiwa "car track" ili tusitumike kinyume na matarajio ya mwenye mali.
Kwa kweli.
Abiria chunga mzigo wako.
Sasa hivi kuna msemo ukijua mke mwenzako ni mwanamke shukuru sana.
Maana kuna mijanaume nayo inakula sahani moja na sisi.
 
Wana wa mama tozo hopeful mnapambana ipasavyo...

Basi bwana mwezi uliopita nikiwa benk flan ya kikulima kikulima nikakutana na ndugu yangu kwenye ukoo tulipotezana mda sana. Huyu ndugu alikuwa na mkewe pamoja na rafiki wa mkewe. Hawa wanawake wote walikuwa na vibendi vikubwa tu vya ambo gani ya kuchungana kama ng'ombe jamanii? Na wewe mwanaume na ndevu zako unakubali kabisa kutrakiwa?
Lazima mwanamke ulinde ulaji wako. 🤣🤣🤣🤣
 
Kwa kweli.
Abiria chunga mzigo wako.
Sasa hivi kuna msemo ukijua mke mwenzako ni mwanamke shukuru sana.
Maana kuna mijanaume nayo inakula sahani moja na sisi.
Hali imekuwa mbaya, me vs me wanakulana, shame!!
 
Kwa kweli.
Abiria chunga mzigo wako.
Sasa hivi kuna msemo ukijua mke mwenzako ni mwanamke shukuru sana.
Maana kuna mijanaume nayo inakula sahani moja na sisi.
Hivi kweli kuna mwanaume mwenye busara zake na ana mke halafu alale na mwanaume mwenzake?
 
Kwa kweli.
Abiria chunga mzigo wako.
Sasa hivi kuna msemo ukijua mke mwenzako ni mwanamke shukuru sana.
Maana kuna mijanaume nayo inakula sahani moja na sisi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machozi. Wallah khaaaah
Shangaziiiiiii eti nn?

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli.
Abiria chunga mzigo wako.
Sasa hivi kuna msemo ukijua mke mwenzako ni mwanamke shukuru sana.
Maana kuna mijanaume nayo inakula sahani moja na sisi.
Hahaha ni tamu hiyooo ya kujua mke mwenzako ni janadume lilojitoa fahamu
 
Back
Top Bottom