Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Daah! Basi dunia iko pazuri!Mbona wengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah! Basi dunia iko pazuri!Mbona wengi sana
Kwangu mpya ndugu , mume wa mtu kulala na gay!!!!Wee mkuu Kwamba huna habari au unazingua tu??
Ohooooh Khalagabao....!!Kwangu mpya ndugu , mume wa mtu kulala na gay!!!!
Aya Toa sadakaAmina
🤣🤣🤣SawaAya Toa sadaka
Mimi nakubali kabisa tatizo lipo na ni kubwa. Ni moja ya culture ambayo imeshajijenga kwa wanaume wengi. Ila bado tu wapo wasiokuwa na huo ushenzi.Asee me sio type ya mchepukaji wala
Yani mm ni wale wa 100% true love sema ndo hvyo ukweli tuuseme...wanaume wa tanzania kama wapo waaminifu basi ni 2 katika 100...
Tusi assume tatizo halipo kumbe lipo
Hivi kweli kuna mwanaume mwenye busara zake na ana mke halafu alale na mwanaume mwenzake?
Thibitisha Maneno yako!!Shangaa ushangazwe mkuu
Wanaume walioa hadi wanawapangia hao wanaume wenzio. Kuna mambo ukiyaona unatamani yasikutokee