Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aise ni kama dukani kwako, kuibia utaibiwa ila unapunguza wizi kwa kuwa unamchunga.Vinalindika sasaaaa
Mm nime nukuu maandiko tuMwanaume hachungwi ndugu
Tupeanage tuu hivi vitumbua na matango. Mambo ya kujimilikisha kwa sasa ni kujidanganya tuuVitaliwa tu hata wakiweka ving'amuzii
Ile mimba itashuka mda si wake..Hahahah atakufa siku si zake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa kweli.
Abiria chunga mzigo wako.
Sasa hivi kuna msemo ukijua mke mwenzako ni mwanamke shukuru sana.
Maana kuna mijanaume nayo inakula sahani moja na sisi.
Hilo ndilo linalowauma.Aise ni kama dukani kwako, kuibia utaibiwa ila unapunguza wizi kwa kuwa unamchunga.
Maana wanawake kinachouma hapo ni kwamba hela za mme zinaliwa na mwanamke mwengine....
🤣🤣🤣🤣🤣Hilo ndilo linalowauma.
Hawa watu ni wabinafsi sana.
AminaAnatimiza maandiko
Yeremia 31:22
Utatangatanga hadi lini, Ee binti mwenye kuasi? Kwa maana BWANA ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume.