Wewe mwenyewe unapenda makalio makubwa, alafu bint akitanguliza pesa kama priority unaanza kulalamika "ooh mademu wa siku hizi wanapenda hela sana"

Sija promote mataka mkuu.

Ila naawaambia ukweli vijana

Kama wanataka starehe kubwa basi wajiandae uchumi mkubwa

Sio kulalamika tu
Hivi toka zamani starehe kubwa ilikuwa ni big nyash?
Zamani wakati mdogo kina sinta,magese,j mengi etc, zilikuwa bidhaa za type hizo ndio zilikuwa expensive staff
Ghafla naona big nya on freakt au ni toka zamani
 


Kila mwanaume anajua mwanamke anataka ela

Na mwanaume kabla ajamtongoza mwanamke anakuwa tayari ashajua huyu bajet ya siku ni elf 50, au huyu vocha ya buku 5 inamtosha au huyu simuwezi

Shida inakuja ni kwamba wanawake wanashindwa kuwa smart kupata ela zetu

Ela ambazo Sisi tunakesha kuzitafuta yeye anataka azipe kirahisi Tu 😂

Mfano wewe unaweza ukawa na milion mbili hapo then akaja dem wako moja Kwa moja akakwambia kucha zake Ndefu anataka akakate na gharama yake ni 230k je utatoa?

But angeweza kupata hiyo 230k Kwa kuwa smart tu
 
Kijana Cha kufananisha pesa na vitu vya kipumbavu🥶
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…