Wewe mwenyewe unapenda makalio makubwa, alafu bint akitanguliza pesa kama priority unaanza kulalamika "ooh mademu wa siku hizi wanapenda hela sana"

Jibu mbona unalo ,hata ukimpa Pesa bado anaweza asiridhike atataka vitu vingine nje ya Pesa na hapo ndipo lawama zinapoanzia
 
Una makalio makubwa?
 
Inawezekana ikawa kweli ndio maana Mondi kang'anga'nia kwa Zuchu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…