Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Hii inaitwa ngoma draw, Mi nafikiri kila mtu ashinde mechi zake huku tukila kwa urefu wa kamba zetu maana hata solomon alijaribu kila kitu na akaishia kusema hii dunia na maisha kiujumla ni batili tu.
Kama mwanaume priority yako ni kupenda makalio makubwa.
Na mwanamke priority yake ni kupenda pesa.
Kwanini tena lawama ya tamaa na ulafi inakujuwa juu ya mwanamke pekee?
Kama mwanaume priority yako ni kupenda makalio makubwa.
Na mwanamke priority yake ni kupenda pesa.
Kwanini tena lawama ya tamaa na ulafi inakujuwa juu ya mwanamke pekee?