Infopaedia
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,231
- 1,491
Mi naona wanazuga tu. Kwanini wasifanye mojamoja. Haiingii akilini ku-shut down platform zote 3. Na siamini kama zote ziko kwenye base au mfumo mmoja kiasi kwamba huwezi ukai-service separately.Soon wanazirudisha kweny hali ya kawaida wanafanya marekebisho na kuboresha apps hizo washatoa tangazo