Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah weee mtuuuNimefuta pilau nikijua storage
Naona anajaribu kututoa kwenye reli
"TUNAUZA NG'OMBE TUPO ARUSHA SING'ISI TENGERU"
BIASHARA ZETU NI ZA ANA KWA ANA NA SIYO MTANDAONI. LAZIMA MTEJA AFIKE OFISINI NA SHAMBANI
(1) Tunao mitamba ambao hawajapandwa ila waweza pandwa muda wowote.
Bei ni kuanzia Tsh 1200000 hadi 1650000 inategemea na mtamba mwenyewe.
(2) Pia mtamba mwenye mimba kuanzia miezi mitatu (3) hadi miezi sita (6) ni Tsh 1500000 hadi 1800000.
(3) Pia tunao ng'ombe walio zaa mara moja mara mbili na mara tatu ambao wanakamuliwa maziwa kuanizia liter 16 adi 22 inategemea na ng'ombe mwenyewe bei zao ni kuanizia Tsh 1700000 hadi 2000000.
(4) Na pia kwa wale wanao itaji ndama madume pamoja na majike wanapatikana kuanzia umri wa miezi minne adi sita kwa bei kuanzia Tsh 650000 hadi 850000.
KAMA KAMPUNI GARAMA ZA USAFIRISHAJI KWA KIWANGO NA MTEJA KUTEGEMEA NA ENEO ALILOPO KARIBU SANA UPATE NG'OMBE WAZURI KWA UZALISHAJI
Wasiliana nasi kwa simu kwa namba
0759926750
Aysee na ndo maana sijutii kuwa member hukuu maana kuna muda unakuta huna mood ila kukutana na reply kama ulioweka hapo lazma mtu ujikute tu unachekaKaribu the home of great thinker..😁
Whatsapp na facebook ni kampuni moja pamoja na instagram.Na WhatsApp je?!! Mkoa niliopo hata WhatsApp ngoma haifanyi kazi tangu saa 12 unusu!!
Nimejaribu kutumia laini zangu za kampuni 3 tofauti na zote zimegoma!!
Ila JF kama hivi mwendo mswano
Kwema ndugu..?Dah weee mtuuu
Yan kijana mdog anaisimamish dunia ,Tz tunakwam WAP!!?Nipo na dogo mark hapa Kuna maboresho anafanya kidogo ikifunguka mtayaona
Si unaona hapa JF tunavyoingia kwenye threads mbalimbali na kukata ishu kwa maandishi, basi kule clubhouse watu wanakata issue kwa kuongea live, na kujibizana as if nyote mmekaa room mojaInahusiana na nin hiyo app
Kipenzi umenichekesha kama mwehu. Luv u moreNaunga mkono hoja
Nchi ipi?Nchi ndiyo itakosa pesa tulio wapa dhamana siyo wote wenye uwezo wa kufikiri ulio kamilika
Huyo mwanao mjengee sanamu asee... mo nimerestart mpaka simu imeisha charge
Pilau limemwagika Hahahhh,Marc ajiandae kupokea lugha za hovyoKwema ndugu..?
Huku face book haipo, bila ya shaka hawataki kesi ya Mbowe ijulikane.Habari za usiku wadau?!!
Mkoa niliopo hakuna mawasiliano ya WhatsApp, Instagram na social network zote maarufu,hii imetokea tangu saa 12 na nusu!!!
Kwa wale wafuatiliaji wa mambo mtakumbuka kua miezi kadhaa iliyopita serikali kupitia TCRA ilizima na kuzuaia websites zote za kikubwa ambazo huonyesha maudhui ya ngono na hadi leo hawajatoa tamko,je wamehamia na kwenye social network?!!
Hadi Watts app?Hii ya leo sio TCRA, ni Facebook wenyewe wana matatizo ya kiufundi.