hapana mkuu silifahamu hilo,ila ufanyaji kazi wake unakuwaje wazawa hawamchukii mtanzania mwenzetu huyo?
Nalog off
Hapo hujakosea, NSIS ya Kenya imedhihirisha kuwa bora zaidi. Inafaa ifahamike
- Hakuna shambulizi limetendeka bila wao kutoa tahadhari, ni vile hawaruhusiwi ku-engage
- Polisi ndio wamekua wakizembea
- Hakuna nchi Afrika yote iliyokumbwa na changamoto tulizo nazo, mkoa mzima wa Wasomali na wengi wakiwemo mjini na hata kwenye madaraka serikalini, na wanafahamika wengi kuwa na mlengo wa Ki-Alshabaab.
TISS hawajakumbana na chochote maana Watanzania wengi kuanzia mwanzo walishalainishwa na mwalimu na kukaa kiuzalendo. Nchi yote ya Bongo haina sehemu kame, hivyo watu wake wapo na shibe siku zote, na ndio unaona siku zote wanaimba CCM.
What constitutes "the best"???!!!
challanges you face
Wengi wanasema TISS ndo bora kwa upande wngu naona wanavutia kwao tu..hebu ni ulize ni changamoto gani ambazo hyoTISS wamezipitia. Nijuavyo mm mara nyingi changamoto nyng huwanzia ndani na kusambaa nje na hii ni baada ya w2 kujielewa waki demand haki zao/masirahi yao au kupinga jambo fulani. Kwa wa tz cc ambao ni ma.mbu.mbu zaid ya 60% kama IQ yng
kumbe tuko vizuri kaka.Ni kama consultant,nia ni kutengeneza nidhamu na chain of command.
Mkuu unajua kwa nn Adadi kapelekwa Harare?Yu wapi Tsavangirai?
Unajua kwa nn Kagame kakataa yule balozi?lakini soon tutasikia tu side effects.
Hawa jamaa wa TISS ni wabaya sana kaka..sinema ya Chadema imeanza taratiiibu kama alivyobashiri Tyson
kumbe tuko vizuri kaka.
Nalog off
Why???!!
Because of bizarre and mysterious disappearance of Kagame opponents
kumbe hata hawa wanamuziki wa bongo flavor wako pia? nafikiri huyo ney wa mitego ni mmoja wao maana mara kashika bunduki mara sijui nini,huku kuna mwanamuziki mmoja wa kuitwa Azagaia kaamua kuacha muziki baada ya kutonywa kuwa mwanamuziki ambaye yuko naye beneti kwenye maswala ya kuvuta bangi ni mfanyakazi wa SISE na ndiye anayempoteza kwenye umaarufu wake.Cha kufurahisha kila sehemu unayoijua wewe wana mtu wao
maji ufuata mkondo kijana,na mtoto wa nyoka ni nyoka hawezi kuwa mjusi.
Joking seriously...............!!!!!!!!!!!!!!!
Wewe kitu gani ni kipya hapo
kumbe hata hawa wanamuziki wa bongo flavor wako pia? nafikiri huyo ney wa mitego ni mmoja wao maana mara kashika bunduki mara sijui nini,huku kuna mwanamuziki mmoja wa kuitwa Azagaia kaamua kuacha muziki baada ya kutonywa kuwa mwanamuziki ambaye yuko naye beneti kwenye maswala ya kuvuta bangi ni mfanyakazi wa SISE na ndiye anayempoteza kwenye umaarufu wake.
Nalog off
Kinondoni makaburini wakulima road, pale kuna makao makuu ya nini?
Ni TZ. hakuna mfano,wengi huja kujifunza.Na kwa duniani ni namba 3,toa Israel na Cuba.
N.B.Source: Hutakaa uipate kudhihirisha usiri wake.
Josêph M Mike;9952704 said:Wewe naona unafikiria kuigiza Bongo Movies. Unafikiri USA walkuwa na akiri ndogo kuondoa security system yenu na kupandikiza Ma-CIA kwenye ujio wa Obama, hilo nafikiri hata sirikali yenu inalitambua.
Sasa ujiulize "Ni kwann yanapotokea majanga kama mf; mlipuko wa grenade pale kanisan-Arusha-Agizo la Wazir ni kuleta majasus kutoka Israel. Why?
TISS wao ni wataalam wa kutoa kucha na kupiga robber wa2mishi wa umma.
Ni hayo kama ulikuwa haujui bst.