WHO: Maambukizi ya Tanzania yanaenea kwa sababu Serikali haifuati miongozo ya afya ya kimataifa

Hapokunabkunakaukweli
 
Wazungu walikuibia siri kuwa watafanyia majaribio chanjo ya Korona Afrika.. Wanacho jifunza kutoka Afrika, sio chanjo tu.. Kuna mambo mengi mazuri wanajifunza toka kwetu, but they wont admit!
Laiti ungejua majaribio yameshaanza na yanafanyikia huko huko tena kuna madaktari wengi tu wamejitolea.
 
Weka link ya hiyo studies ps

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu hiyo chorus yenu sasa inachosha.
Madai yenu ni ya kitoto muda wote. Huyo msaliti ni nani? Ambatanisha ushahidi, peleka mahakamani tuwasikilize WAZI. Kama hamtaishia tu kubumba tu mashitaka ya kuzimu, ....... mara kutakatisha hela.... halafu wanalazimishwa kukiri na kuzilipa ...ili watoke.
Awamu hii sijui ya malaika, sijui mungu mtu, MZARENDO, Asiyekosolewa, wakusifiwa tuu na kuimbiwa nyimbo za mapambio kama mtoto mchanga wa uzeeni. Anaelindwa kuliko marais wote waliyowahi kupita TZ sijui kwa kuogopa waTz wanyonge?
HIVI, huko kujilizaliza kwenu kwa visingizio kunatupeleka wapi zaidi ya kuibomoa nchi hii. Kama nae kesha tambua kuwa hawezi, AJIUZULU.
 
Lies of unimaginable magnitude. Umeandika Ki-kijiwe sana.
 
We need international intervention even by force
 
Kimombo cha St Kayumba hakijifichi, kina mapengo mengi. Jaribu tena 'tuition'.
 
Fursa ya biashara Tanzania- industrial steam boilers for covid 19 treatment!
 
Na Kenya yenye wagonjwa 300+,south Africa yenye wagonjwa 1000+ wenyewe wanafuata maagizo? Huyu beberu ni wa kupuuzwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sahizi unajua hapa kwetu tunao wangapi? Leo, 8 waliokuwa wamelazwa Seketure, wamepelekwa Buswelu baada ya kuthibitika.

Ukitaka unaweza kusimama Askari monument, ukafunga macho yako mpaka jioni, na jioni ukawaambia watu kuwa tangu asubuhi hakuna gari iliyiona inapita. Hutakuwa umekosea, maana ni kweli hukuiona.

Kwa wale wanaothamini maisha yao na ya wapendwa wao, wasikilize taarifa na maelekezo ya WHO na wataalam wa nchi nyingine. Sikio la kufa halisikii dawa.

Upo Posta unaambiwa uvuke kwa mguu kuelekea Kigamboni kwa sababu maji hayo hayana kina. Lakini anayekuambia hivyo, yupo milima ya Burigi. Cha kujiuliza, ambaye yupo Posta na wa Burigi, nani anayeiona hatari kwa uzuri zaidi, ya kuvuka bahari kwa miguu kuelekea Kigamboni?

Tuyakumbuke ya Farao. Mungu aliufanya moyo wa Farao kuwa mgumu ili Wamisri waangamie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WHO wamechanganyikiwa tu
USA qanaituhumu WHOkqa uzembe ulioifikiaha dunia hapa,USA wamekata mchango na.msaada wake kwa WHO kwa uzembe huo,leo eti nao wanatunyooshea kidole!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…