mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mimi mwenyewe nimeshangaHao ni wale chawa wake, hujui kama ni kampeni zimeanza za 2025?
Maana Lindi nlivyoizunguka
Wana changamoto sana, hapo Rais kaingizwa kingi
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe nimeshangaHao ni wale chawa wake, hujui kama ni kampeni zimeanza za 2025?
Sijui na Moshi, Mwanza, Arusha wasemaje kama Ruangwa hawana changomoto?Mimi mwenyewe nimeshanga
Maana lindi nlivyoizunguka
Wana changamoto sana,hapo rais kaingizwa kingi
Ova
Kama abdulHivi Mama abdul anatuchukuliaje sisi?
Hiyo ni shida ya Nchi sio specific areasNaona kwao umeme haukatiki.
Maji kila kaya yapo
Wakisema watakuwa wanapenda ulalamishi😅Sijui na Moshi, Mwanza, Arusha wasemaje kama Ruangwa hawana changomoto?
Amewasilence wananchi kwa lazima. Mkono wa chumaMbunge wa huko kuna kitu anatafuta.
NyaniHivi Mama abdul anatuchukuliaje sisi?
Naona Leo Mhe.Rais kaamua kusema ukweli mchungu sana Kwa baadhi ya watu juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa. Tukivua vazi la unafiki na uzindaki sote tutakubaliana na maneno ya Rais Samia juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa.
Mungu amuweke muda mrefu zaidi na Nuru ing'ae Zaidi upande wake
Nionyeshe kiongozi mmoja tu wa kitaifa wa CCM ambaye siyo muongo,mnafiki na mzandiki (kiushahidi) nami nitakuonyesha "bikra 1000" kwenye wodi ya wazazi.Naona Leo Mhe.Rais kaamua kusema ukweli mchungu sana Kwa baadhi ya watu juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa. Tukivua vazi la unafiki na uzindaki sote tutakubaliana na maneno ya Rais Samia juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa.
Mungu amuweke muda mrefu zaidi na Nuru ing'ae Zaidi upande wake
[emoji28][emoji28]Nionyeshe kiongozi mmoja tu wa kitaifa wa CCM ambaye siyo muongo,mnafiki na mzandiki (kiushahidi) nami nitakuonyesha "bikra 1000" kwenye wodi ya wazazi.