Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Mama mnafiki Huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa watu wa Ruangwa si ndo wale waliovaa vinyago na kuweweseka kama matahira?Rais Samia Suluhu amesema amekuta Ruangwa hali ni tofauti na maeneo mengine ambapo kote alikopita amepokea changamoto nyingi za kwenda kufanyia kazi, lakini Ruangwa wamemwambia hawana changamoto yoyote, Ruangwa wametaja mazuri waliyofanyiwa na Serikali. Rais Samia amewapongeza mkoa wa Lindi na wilaya ya Ruangwa kwa maendeleo makubwa.
Rais Samia ameahidi kumtunza waziri mkuu kwa kupeleka maendeleo zaidi Ruangwa kutokana wadhfa wake kuwa na kazi nyingi. Rais Samia amesisitiza lazima Serikali ipeleke maendeleo Rungwa.
Rais Samia Suluhu ameanza ziara yake ya kikazi mkoani Lindi na leo Septemba 18, 2023 amehutubia wilayani Ruangwa baada ya kumaliza ziara mkoani Mtwara.