Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
"....ni mzima wa afya yupo anachapa kazi"By the way SISIEM wengi wao waongo waongo wamafiki including kasim
"..msiba wetu umefatiliwa na watu bilioni moja"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"....ni mzima wa afya yupo anachapa kazi"By the way SISIEM wengi wao waongo waongo wamafiki including kasim
Yule dingi ni mnoma sana. Katufiksi kifala sana....Yani jembe lilikuwa linachapa kazi kwenye friji mochware?"....ni mzima wa afya yupo anachapa kazi"
"..msiba wetu umefatiliwa na watu bilioni moja"
Mpaka unasema ni sinema ,unamjukuliaje PM?Hii sinema ngoja tu...
Tutaona mwisho wake.
Mungu hamfichi MNAFIKI
Uzungumzaji wa PM unafata protocolsHilo liko wazi ni kiongozi mzuri, tatizo ni kukubali kusema uongo kwa manufaa ya watu wengine ndio kumeharibu image yake .
Tulia..Mpaka unasema ni sinema ,unamjukuliaje PM?
Wacha waendelee kuchapwa na maisha wapumbavu haoWaafrika hasa watanzania wana Upumbavu wa milele.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Wamama walikuwa wana jigaragaza kwenye mavumbi, kumsifu mama.
Uchapakazi huo kwiyo? Angemwekea deputy Kama kweli anamaanisha? Something like satire eeh?Naona Leo Mhe.Rais kaamua kusema ukweli mchungu sana Kwa baadhi ya watu juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa. Tukivua vazi la unafiki na uzindaki sote tutakubaliana na maneno ya Rais Samia juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa.
Mungu amuweke muda mrefu zaidi na Nuru ing'ae Zaidi upande wake
😑😑😄😄😄 ila Mungu alilipa taifa uzoefu fulani wa ajabu ambao sijui kama utakuja jirudia 😁😁😁"....ni mzima wa afya yupo anachapa kazi"
"..msiba wetu umefatiliwa na watu bilioni moja"
UongoNaona Leo Mhe.Rais kaamua kusema ukweli mchungu sana Kwa baadhi ya watu juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa. Tukivua vazi la unafiki na uzindaki sote tutakubaliana na maneno ya Rais Samia juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa.
Mungu amuweke muda mrefu zaidi na Nuru ing'ae Zaidi upande wake
Mnataka Rais aonekane magomeni au kariakoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yule dingi ni mnoma sana. Katufiksi kifala sana....Yani jembe lilikuwa linachapa kazi kwenye friji mochware?
vua wewe mwenye hayo mavazi,Naona Leo Mhe.Rais kaamua kusema ukweli mchungu sana Kwa baadhi ya watu juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa. Tukivua vazi la unafiki na uzindaki sote tutakubaliana na maneno ya Rais Samia juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa.
Mungu amuweke muda mrefu zaidi na Nuru ing'ae Zaidi upande wake
Naona Leo Mhe.Rais kaamua kusema ukweli mchungu sana Kwa baadhi ya watu juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa. Tukivua vazi la unafiki na uzindaki sote tutakubaliana na maneno ya Rais Samia juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa.
Mungu amuweke muda mrefu zaidi na Nuru ing'ae Zaidi upande wake