Wilaya ya Ruangwa wamwambia Rais Samia hakuna changamoto yoyote ya kufanyia kazi

Hapo ndipo tunakosea.
Ila wote hao watakuwa wana CCM wenzetu.
Kero zipo mfano mafuta ya petroli.
 
Mimi sishangai kusikia hivo maana kuna baadhi ya mikoa hapa tanzania bado inawatu wajinga wajinga sana
 
Safi sana... Huyu Mama inabidi kuksifu sifu tu...

Mara paahh...2025..
 
Waafrika hasa watanzania wana Upumbavu wa milele.

Uafrika hasa utanzania ni laana.

Wamama walikuwa wana jigaragaza kwenye mavumbi, kumsifu mama.
 
Naona Leo Rais kaamua kusema ukweli mchungu sana Kwa baadhi ya watu juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa. Tukivua vazi la unafiki na uzindaki sote tutakubaliana na maneno ya Rais Samia juu ya Uchapakazi wa PM Majaliwa.

Mungu amuweke muda mrefu zaidi na Nuru ing'ae Zaidi upande wake
 

Hilo liko wazi ni kiongozi mzuri, tatizo ni kukubali kusema uongo kwa manufaa ya watu wengine ndio kumeharibu image yake .
 
Nionyeshe kiongozi mmoja tu wa kitaifa wa CCM ambaye siyo muongo,mnafiki na mzandiki (kiushahidi) nami nitakuonyesha "bikra 1000" kwenye wodi ya wazazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…