Wilaya ya Ruangwa wamwambia Rais Samia hakuna changamoto yoyote ya kufanyia kazi

Hii sinema ngoja tu...
Tutaona mwisho wake.

Mungu hamfichi MNAFIKI
 
Uchapakazi huo kwiyo? Angemwekea deputy Kama kweli anamaanisha? Something like satire eeh?
 
"....ni mzima wa afya yupo anachapa kazi"
"..msiba wetu umefatiliwa na watu bilioni moja"
😑😑😄😄😄 ila Mungu alilipa taifa uzoefu fulani wa ajabu ambao sijui kama utakuja jirudia 😁😁😁
 
Wananchi hawataki ngonjera zake huyu Mama. Natamani nchi nzima iige huu mfano wa Ruangwa.
 
Ni sahihi kabisa maana changamoto zao kubwa ni kucheza ngoma na kufundisha watoto wa shule namna ya kukata viuno. Sasa kama hayo yote yanaendelea kila kona pande basi hamna changamoto zaidi.
Shule, maji, umeme, barabara kila mmoja anajua namna ya kufanya. Kuhusu soko la ufuta na korosho tayari linaeleweka waziri mwenye dhamana ametuahidi viwanda lukuki
 
Uongo
 
Yule dingi ni mnoma sana. Katufiksi kifala sana....Yani jembe lilikuwa linachapa kazi kwenye friji mochware?
Mnataka Rais aonekane magomeni au kariakoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
vua wewe mwenye hayo mavazi,

mimi binafsi sihusiki na sijawahi kuvaa hayo mavazi na sintovaa kabsaa......coz ni mbaya!!!!!

kikubwa naungana na Rais
 
Adui yako akikusifia jitafakari sana.

"Keep your friends close and your enemies closer"
 
Kwanini amuwekee naibu waziri kama waziri mkuu ni mchapa kazi. Lisije likawa kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…