Wilbroad Slaa kusema Rais Samia amejificha kana kwamba nchi haina kiongozi, ungethubutu kusema hivyo kwa Hayati Magufuli?

Yote tisa lakini naomba kujua mkataba wa Dp world na Samia ni wa muda gani?
 
hili swala la DP world linaligawa taifa kwa namna ya ajabu.kwa hiyo tunaitaji utulivu how to handle it.naamini hata ndani ya chama tawala kutakuwa na mpasuko fulani.
BUSARA ZAIDI INAITAJIKA KWA MH rais ,ili muungano wa tanzania na CCM visivunjikie mikononi mwaka.yani huku mitaanihakuna anayemwelewa mpaka wanawake wanaongea maneno magumu.
Haiwezekani wasomi Ikiwemo maprof,mawKILI ,WANANCHI wamepigia kelele then wewe ukajifanya husikia na kuwaona watu wote hamnazo. think twice
 

Mitaa gani ambayo watu hawamwelewi Mh Rais??

Labda kama ni mitaa ya UFIPA.
 

Taja atleast Mradi MMOJA ambao kwa fikra zako unaona unasua sua,

Pili aliekueleza kuwa hiyo miradi ilikua inajengwa kwa fedha za ndani alikuongopea,na ukweli uko wazi.

Usikubali kuendeshwa kwa hisia hisia na habar za vijiweni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…