Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimaye umeibuka dada!Jibu hoja yake acha kubwabwaja
Ametutia hasara kubwa kuliko.Magufuli hakuuza Bandari!
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
Kama mtumishi wa umma hataki kusemwa na kukosolewa na wenye nchi yao waliomuajiri, anaacha utumishi tu, period.
Kwani Magu aliwahi kuuza bandari
Magufuli hakuuza Bandari!
Rais atoe kauli mara mbili? Yeye ameshasign na bunge limejadili. Hivyo ameshatimiza wajibu wake. Unataka ale matapishi yake mwenyewe?Ok,
1. Kwani rais katoa kauli?
2. Lini umekuwa askofu wa RC mpaka uuseme upadre wake?
3. Rais Samia aliposema .. nanukuu.. KULIKUWA NA SIMBA WA YUDA.. mwisho wa kunukuu. Ulielewa alimaanisha nini?
Kwani kujificha ni tusi?Ok,
1. Kwani rais katoa kauli?
2. Lini umekuwa askofu wa RC mpaka uuseme upadre wake?
3. Rais Samia aliposema .. nanukuu.. KULIKUWA NA SIMBA WA YUDA.. mwisho wa kunukuu. Ulielewa alimaanisha nini?