econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Nani kauawa Kenya kwasababu ya ukabila. Gen Z wamevunja ukuta wa ukabila. Wewe Baki na mawazo yako ya 1970.Tanzania hakuna wanaouwana kwa ukabila.
Kuwa na fikra chanya kuhusu Tanzania, usiwe na fikra potofu kwa uvivu wako tu.