Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi inaongozwa na wajingaanatumika vibaya kwa makusudi
Wanasema huo wimbo unawagusa sana wakenya kama kawaimbia wakenya sababu nao kuna mfumuko sana wa bei kwao na bunge lao pia ni la mchongo na lina vilaza wengi sana bungeniKwenye comment wakenya wengi na vibendera vyao, kwan Net wamitego kaamia kenya.
Nye ni wajinga,sijawatusi nye ni washenzi -Nay wa MitegoRau Madukani mna ile miziki yenu[emoji23]
"kuna mistari anasema ndo maana sikuhizi tuna wasomi wajinga Sana..."hana nidhamu kabisa
Basata hili halipaswi kuwahusu, mwimbaji hajataja mtu wala nchi au kumchochea yoyote, muimbaji kaimba maoni na hisia zake, hatulazimishwi kuzisikiliza au kutokuzisikiliza.BASATA: Wasanii mnakumbushwa kutotumia Lugha za Uchochezi
Hivi kwanini jukumu lisinge kua la TPA na DPW tu! Yaani jukumu hilo lingekua la TPA kampata mbia au partiner kuliko serikali kujiingiza mazima kuiuza nchiNaona Madam kaamua kukaza!
Hataki kuachia hadi kieleweke.
Ngoja tutaona.
Yaani ukipigwa pini ndo utakuwa maarufu zaidiWIMBO HUU BADO CHAWA WA MAMA HAWAJAUPIGA PINI?
Mbona unatusema mkuu?Rau Madukani mna ile miziki yenu[emoji23]