Sossi
Senior Member
- Nov 9, 2022
- 159
- 200
Wamebaki Misukule tu na wenye maslahi yaoHili la bandari watanganyika wote wanaojielewa wameamka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamebaki Misukule tu na wenye maslahi yaoHili la bandari watanganyika wote wanaojielewa wameamka.
Wimbo mpya wa Nay wa Mitego unaoitwa amkeni unaozungumzia sakata la Bandari, Ripoti ya CAG na ugumu wa maisha umefikisha watazamaji 71,000 na comments zaidi ya 2,000 ndani ya masaa 7 tu tangu uachiwe hewani
Mamlaka kwa mujibu wa katiba yanatoka kwa nani???chadema tiini mamlaka ndugu zangu
mamlaka yametolewa kwa viongozi mbalimbali wa kiserikali kama vile raisiMamlaka kwa mujibu wa katiba yanatoka kwa nani???
AMbao walioyatoa wamepata kwa nanimamlaka yametolewa kwa viongozi mbalimbali wa kiserikali kama vile raisi
mujibu wa sheriaAMbao walioyatoa wamepata kwa nani
Unajitahidi kidogo sio mbaya kutosoma sio kosa lako .Soma hapa madaraka huwa yanatoka kwa nanimujibu wa sheria
pia raisi ana mamlaka kikatiba nyie ndio jamii ya mdudu "mavu" mkisha jua kujenga senga tayari mnadhani tayari ni wahitimu na kusahau kuna kujifunza na kutengeneza asali usipende kuchoropoka na aya moja nakudhani umeumaliza msahafuUnajitahidi kidogo sio mbaya kutosoma sio kosa lako .Soma hapa madaraka huwa yanatoka kwa nani
Rais huwa anaapia katiba .kumaanisha iko juu yake .katiba inasema mamlaka zote lengo kuu ni sisi kustawi sio yy kuheshimiwa .kifupi rais ni housegirl wa wananchipia raisi ana mamlaka kikatiba nyie ndio jamii ya mdudu "mavu" mkisha jua kujenga senga tayari mnadhani tayari ni wahitimu na kusahau kuna kujifunza na kutengeneza asali usipende kuchoropoka na aya moja nakudhani umeumaliza msahafu
unaelewa unachojibuRais huwa anaapia katiba .kumaanisha iko juu yake .katiba inasema mamlaka zote lengo kuu ni sisi kustawi sio yy kuheshimiwa .kifupi rais ni housegirl wa wananchi