ArtificialIntelligence
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 377
- 734
Nyie mnaosema lissu hajapiga kura mna uhakika?.... kwahiyo hapo alikuwa anatalii ety??Hajapiga, haya ni maajabu, mimi sijawahi kusikia kwamba Mgombea Uraisi hajipigii kura halafu anawaambia wengine wajitokeze kumpigia kura? Huyu jamaa tundu kichwani hazimtoshi aisee, ...
Opposition hawachukui hatua zipi ?Kila uchaguzi mambo yaleyale yanajirudia kila upande(state na opposition)hawachukui hatua.
Hapa wakulaumiwa ni wote,sio tume ya uchaguzi tu
Ni hivi:
Mimi ningependa kuona wapinzani wanasusia chaguzi zote, za ngazi zote.
Wanayo sababu ya msingi kabisa kufanya hivyo.
Wakisusia hizo chaguzi halafu CCM wajipe ushindi, so be it.
We’ve been there before.
Toka mwaka 1965 hadi 1995, nchi hii ilikuwa nchi ya chama kimoja.
Kila kitu kilianzia na kuishia na CCM.
And guess what? We survived it.
Naamini kabisa tunaweza kabisa ku survive kipindi kingine ikiwa lengo ni kudai mazingira bora yenye kutoa haki na fursa sawa kwa washindani wote.
CCM wakisusiwa, na wao wakiamua kujipa ushindi wa mezani, watakosa uhalali mbele ya wananchi na hata mbele ya jumuia za kimataifa kwa sababu, sababu za kususia chaguzi za maigizo zina mashiko.
Hivyo, kama tuli-survive miaka 30 ya chama kimoja, sioni kabisa kwa tusiweze ku survive kipindi kingine.
Acha CCM wajipe hata ushindi wa asilimia 500!
Mimi sioni kabisa mantiki ya kushiriki chaguzi ambazo mtu unajua kabisa ni zoezi la kuwapa tu uhalali CCM.
Who is going to blame you for boycotting sham elections?
Boycotting sham elections is about courage, convictions, and principles. It’s about honor.
Taking part in sham elections is about fear. Fear of your opponent taking it all.
Im not down with fear. Not now, not ever.
However, I’m down with the courage of my convictions.
Boycott these sham elections.
Tulisusia uchaguzi wa serikali za mitaa nini kilitokea ?Tukiwaambia msusie chaguzi, hamsikii.
Sasa mnalialia nini? Kwani hamkujua zitakuwepo figisu?
So solution ni kushiriki chaguzi za maigizo?Hiyo si solution dhidi ya hawa wahuni wa ccm. Hawajali maslahi ya Nchi hawa zaidi ya maslahi yao binafsi.
Maccm yanajua fika hayapendwi na yamechokwa na asilimia kubwa ya Watanzania ndiyo sababu yanahofia chaguzi huru na za haki kwa kujua kwamba ndiyo itakuwa kaburi lao
Baada ya huu uhuni wao mimi naona vikwazo vya kiuchumi labda vinaweza kutusaidia ili kuwatia adabu hawa wahuni wasiwe na jinsi zaidi ya kukubali uwepo wa katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi ili kuhakikisha chaguzi zetu ni HURU na za HAKI.
Kama Nchi nyingi za Afrika wapinzani wanashinda na kuingia madarakani bila machafuko yoyote sioni kwanini hilo lishindikane kwenye Nchi yetu. Tanzania bila maccm INAWEZEKANA KABISA.
Kilichotokea ni kwamba mpaka sasa bado mpo.Tulisusia uchaguzi wa serikali za mitaa nini kilitokea ?
Aligombea kujipigia kura?Kama hakujiandika sasa alikuwa anagombea nini?
Amepiga .. akiwa SingidaHuyo Lissu mwenyewe amepiga kura leo?
Weka ushahidi hapa Tundu Lisu akipiga kura kama ilivyo kawaida kwa Wagombea wote Duniani, weka ushahidi tu, its eaaasy , ...
Hiyo si solution dhidi ya hawa wahuni wa ccm. Hawajali maslahi ya Nchi hawa zaidi ya maslahi yao binafsi.
Maccm yanajua fika hayapendwi na yamechokwa na asilimia kubwa ya Watanzania ndiyo sababu yanahofia chaguzi huru na za haki kwa kujua kwamba ndiyo itakuwa kaburi lao
Baada ya huu uhuni wao mimi naona vikwazo vya kiuchumi labda vinaweza kutusaidia ili kuwatia adabu hawa wahuni wasiwe na jinsi zaidi ya kukubali uwepo wa katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi ili kuhakikisha chaguzi zetu ni HURU na za HAKI.
Kama Nchi nyingi za Afrika wapinzani wanashinda na kuingia madarakani bila machafuko yoyote sioni kwanini hilo lishindikane kwenye Nchi yetu. Tanzania bila maccm INAWEZEKANA KABISA.
Amepiga..Apige kwani alijiandikisha kupiga kura?
So solution ni kushiriki chaguzi za maigizo?
Haya sawa.
Kila siku mkipigwa kwenye sanduku la kura mtaendelea kulialia kama mnavyolia sasa hivi.
Endeleeni kuwapa uhalali CCM.
Zito na Tundu walishazunguka duniani kuomba pia sijui walifanikiwa kwa asilimia ngapi
Ila kama wewe pamoja na wazazi wako, shangazi zako, wajomba zako, bibi zako, babu zako, ndugu zako wote wako nje ya Tanzania kazia hapohapo wawekewe vikwazo maana hutafikwa na msiba
Tiba ya hayo yote ni katiba mpya.opposition,wananchi Na serikali hawajafanya vya kutosha kudai/kusaidia upatikanaji wakeOpposition hawachukui hatua zipi ?
Sisi opposition tumefanya mengi sana na tumeumizwa sana.
Wananchi mmeshindwa kumalizia tunapoishia uchaguzi huu bila wakala kituoni ni disaster nyinyi mmepiga kura mawakala wetu wanaondolewa vituoni na polisi hamchukui hatua yoyote sisi mnataka tuwafanyie nini kingine ?
Endelea kuota!Solution kwa sasa baada ya huu uhuni ni kuwepo kwa Serikali ya maridhano au mpito ili kupata Katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi ili uchaguzi urudiwe haraka iwezekanavyo ndani ya miezi sita au 12. Haiwezekani basi vikwazo vya kiuchumi vinatuhusu.
Kha! Kwani vikwazo vinachagua basi? Wewe watuombea sisi mabaya lakini hayatakukosaHebu acha kuwahusisha watu wangu taahira wewe! Hunijui sikujui!
Hawa wapinzani wa Tanzania hawaambiliki!Zito na Tundu walishazunguka duniani kuomba pia sijui walifanikiwa kwa asilimia ngapi
Ila kama wewe pamoja na wazazi wako, shangazi zako, wajomba zako, bibi zako, babu zako, ndugu zako wote wako nje ya Tanzania kazia hapohapo wawekewe vikwazo maana hutafikwa na msiba