Wito wangu kwa Wanawake: Achaneni kabisa na usafiri wa bodaboda, sio salama kwenu

Ha

Harafu nywere bandia sio nzuri. Mara nyingi sana naona watu wanawashwa harafu nywere bandia huwa ndio SABABU.
Harafu nywere bandia zinaleta ukurutu na papasi mwilini.
Harafu nywere bandia sizipendi ila Basi tu
Sana yaani mkulu Ila wanawake wanapenda kufeki Sana
 
Hii nalo ni tatizo Sana asee yani timing zao kwenye kuovertake ni hatarishi sana yaani sekunde ikizidi tu hata moja Basi haupo tena.
 
Ushauri mzuri sana tena sana.
 
[emoji106]
 
Yaap ikiwezekana ziondolewe katikati ya miji.
 
Nadhani tatizo sio wingi wa boda boda kwani inabidi elimu ya usalama barabarani iendelee kutolewa kwani kuna vitu vingi mno vya kujifunza,leo unamwona kijana anajifunza kuendesha na kesho yake yuko barabarani.Mamlaka husika hebu kagueni hao boda boda kama kweli wana leseni?,Na hiki kizazi cha 90' ni hatari kwani kila kitu wanajua wao na ni wabishi hatari.
 
Je uimara wa helmet unaridhisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…