Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujalazimishwa kuamini.Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.
1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.
2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa (staged miracles).
3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha (MUHIMU SANA)
4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
KabisaHujalazimishwa kuamini.
Waache wanaomuamini waendelee kumuamini.
Kila mmoja ana imani yake.
Pastor Dominic Nabii Kiboko ya Wachawi anahudumia Wapiga kura wetu.Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.
1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.
2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa (staged miracles).
3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha (MUHIMU SANA)
4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
😂😂😂😂😂😂😂😂Hii Serikali ipo makini kwa maslahi yke tu, ukiisema vibaya mtandaoni watakutafita kwa mamilioni wakumalize yaani wapo makini kulinda vibarua vyao kuliko mambo ya kishenzi yanayotokea kwa raia
1. Jamaa cha kwanza amejichubua hadi vidole anaficha na gloves kuficha sugu za mkorogo
2. Maombi yke ni wachawi na wanaologa tu utasema mganga
3. Ndevu kapaka rangi na nywele kapiga wey
4. Kazi yake ni kukwanbia mama yako anakuloga jamaa ni msanii na tapeli kabisa
5. Instagram yake akiweka post utaona ina likes 10,000+ kumbe likes zenyewe ananunua ukiaangalia waliolikes utona ni robots accounts
Umewajuaje kama ni waislamu? na data zako umekusanya vipi? kwa kuangalia tu ama kitu gani?Ndugu umepanic
Huo ndiyo ukweli ukienda kwa mwamposa na manabii wengine wengi asilimia kubwa ya waumini ni waisilamu naweza kusema karibu nusu ni waislamu
Yule jamaa anapiga pesa sana kupitia Hisia na psycholojia ya watu wenye matatizo..Kodi kubwa ni muhimu ,wanapata pesa sana ,Mbaya zaidi mpaka kina lokole wanampa airtime
Yule jamaa ni noma.Hii Serikali ipo makini kwa maslahi yke tu, ukiisema vibaya mtandaoni watakutafita kwa mamilioni wakumalize yaani wapo makini kulinda vibarua vyao kuliko mambo ya kishenzi yanayotokea kwa raia
1. Jamaa cha kwanza amejichubua hadi vidole anaficha na gloves kuficha sugu za mkorogo
2. Maombi yke ni wachawi na wanaologa tu utasema mganga
3. Ndevu kapaka rangi na nywele kapiga wey
4. Kazi yake ni kukwanbia mama yako anakuloga jamaa ni msanii na tapeli kabisa
5. Instagram yake akiweka post utaona ina likes 10,000+ kumbe likes zenyewe ananunua ukiaangalia waliolikes utona ni robots accounts
Tumia mwezi mmoja kusikiliza shuhuda za mwamposa utajua nnachoongeaUmewajuaje kama ni waislamu? na data zako umekusanya vipi? kwa kuangalia tu ama kitu gani?
Naomba unijibu hapo halafu tutaendelea
Hapo ndo nilipopataka ... wajinga ndo waliwao, the fact kwamba ibada zake zinabebwa na ushuhuda wa watu kwenye radio ni dalili tosha ya kuwa hao mashuhuda ni wakupangwa. Tena mnapewa moyo kwa waigizaji kujiita majina ya kiislamu na nyie mnajaa mazima. Mimi nataka nione jamii kweli ya kiislamu tunayoijua huku mtaani iliyobadilika ikawa wafuasi wa nabii yoyote wala sio huyo Mwamposa tu, awe yoyote mnaemuita nyie nabii.Tumia mwezi mmoja kusikiliza shuhuda za mwamposa utajua nnachoongea
Ex wangu alikuwa muumini wa mwamposa kitu pekee tulichokuwa tunasikiliza nyumbani ni redio ya mahubiri ya mwamposa ilibidi nimnunulie redio ndogo kuepusha mizozo
Majina ya mashuhuda ni ushahidi tosha
Ex alikuwa muislamu na mashoga zake wengi ni waislamu kwa mwamposa kwa wiki mara mbili karibu laki mbili ilikuwa inaisha kila wiki
Mafuta ya gari
Mafuta ya mwamposa
Maji
Na sadaka
Yani kwa reason yako wewe hata ukiangalia movie utakuwa unaamini ni kweli.Hajachafuliwa mtu,sikiliza au nenda kanisani kwake utawakuta na ndugu zako katika uislam
Nenda insta utamkuta kwenye post moja kajaa tele ofisini kwa Mufti
Eid ya kuchinja kapeleka ng"ombe na vitenge bakwata ,Yote ni kuongeza wigo , bila kupaza sauti watajaa zaidi bila kujali dini,Wapo mpaka wapagani
Fahamu kwamba asilimia kubwa kabisa ya wafuasi wa manabii wanaenda pale kwa sababu fulani fulani tu lakini kiasili hawajaacha kabisa dini zao za asili wako pale kupata majibu ya changamoto zinazowakabili wakiamini pale ni short cutHapo ndo nilipopataka ... wajinga ndo waliwao, the fact kwamba ibada zake zinabebwa na ushuhuda wa watu kwenye radio ni dalili tosha ya kuwa hao mashuhuda ni wakupangwa. Tena mnapewa moyo kwa waigizaji kujiita majina ya kiislamu na nyie mnajaa mazima. Mimi nataka nione jamii kweli ya kiislamu tunayoijua huku mtaani iliyobadilika ikawa wafuasi wa nabii yoyote wala sio huyo Mwamposa tu, awe yoyote mnaemuita nyie nabii.
Kuhusu ex wako kuwa alikuwa ni muislamu kama ni kweli usemalo I can guarantee that huyo ex wako hajui hata basics za uislamu, na hajawahi kuuishi huo Uislamu! so sidhani kama ni reference sahihi, otherwise prove me wrong on this.
Si mnasema wafuasi wengi wa mwamposa ni waislamu basi mpelekeni huyo Mwamposa Zanzibar, Tanga au Lindi halafu tuone anavyokubalika.
Muislamu yoyote anaejua tu misingi ya dini yake wala asiwe shekhe basi hawezi kuwa fooled na watu kama hao kina mwamposa.
Tanzania ukitaka kupiga fedha jifanye wewe ni bingwa wa mambo ya uchawi na uganga. Ndicho wanachofanya wachungaji na manabii wa sasa. Ila hawa si ndiyo CCM inawapenda kwa sababu inawatumia?Hii Serikali ipo makini kwa maslahi yke tu, ukiisema vibaya mtandaoni watakutafita kwa mamilioni wakumalize yaani wapo makini kulinda vibarua vyao kuliko mambo ya kishenzi yanayotokea kwa raia
1. Jamaa cha kwanza amejichubua hadi vidole anaficha na gloves kuficha sugu za mkorogo
2. Maombi yke ni wachawi na wanaologa tu utasema mganga
3. Ndevu kapaka rangi na nywele kapiga wey
4. Kazi yake ni kukwanbia mama yako anakuloga jamaa ni msanii na tapeli kabisa
5. Instagram yake akiweka post utaona ina likes 10,000+ kumbe likes zenyewe ananunua ukiaangalia waliolikes utona ni robots accounts
Wewe pia umeangalia movie ukaamini waendao ni wakristo tupu?Yani kwa reason yako wewe hata ukiangalia movie utakuwa unaamini ni kweli.
Mufti kaenda kwake au yeye ndo kaenda kwa Mufti? ... Uislamu sio rangi, ikiwa unaweza kumtambua muislamu kanisani mwenu then ni wazi alitaka umtambue hivo, basi haitoshi kukufungua akili kwanini ametaka umtambue kwa uislamu wake?
Eid kachinja na kupeleka ng'ombe bakwata, nguvu yote hiyo ya nini ikiwa anachokihubiri ni kweli?
Hapo mnapigwa nyinyi wakristo na wanawataget wale wanaojiita waislamu lakini hawajui chochote kuhusu dini yao.
Amkeniiiiii
Tatizo ni pale mnapotaka kulazimisha ujinga wenu (kumradhi, hapa nimemaanisha ujinga kwa maana ya kutokulielewa jambo unaloliongelea) kuwa ndio ukweli wa mambo ulivyo.Angeibuka zama hizi upinzani ungekua mkubwa sana kwa mahubiri yake na matendo yake na ningekua wakwanza kuleta Uzi kama huu( tafakari na fikiria mafundisho yake mbalimbali na matendo yake kutoka kwenye hadithi sahihi utakubaliana nami )