Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

ENTRY 500K
ANASMA AWEZI KUNGANGANIA MAMIA HUKU WANATOA 50K AMA 100K

BORA WACHACHE WENYE 500K

TAKBIIIIR
 
Kwa wakristo acha tu wapigwe hakuna serikali kuingilia kati, ukiwasanua hawakawii kukuambia wewe ni Kobazi unawaonea wivu manabii wao, acha wapigwe hswaa, kama yule dogo anajiita IPM, ni muislam pure ila nae anajifanya nabii apige ela za wakristo

Wafuasi wake wengi sio wakristo
Fuatilia utajiambia
 
Wafuasi wake wengi sio wakristo
Fuatilia utajiambia
MAMAAA D WENGI WAMEKIMBIA KWA MWAMPOSA AMA NABII MUSA KWAJUFUKUZWA AMA KUKOSA UONGOZI

NINAO NAWAJUA WALIFIKUZWA NA NABII MUSA KWA UTAPELI TENA WALIFIKA CHEO CHA UKUHANI

WAPO WAZINZI WALIFUKUZWA KWA KUHAN MUSAA.. WAPO NA WENGINE WALISHAMKIMBIA BAADAYAKUONA LUELUE
 
Namsikiliza usiku kama comedy. Hasa pale anapojifanya kujua mpiga simu anapitia nini, historia yake...😄
 
KAMSIMAKISHA MKE WAMTU KANISAN ANAMWAMBIA NAKUONA UNA BFRIEND ANATAJA JINA MDADA KAGOMA SINA LOH
 

Attachments

  • Screenshot_20240703-234830_Lite.jpg
    296.8 KB · Views: 7
  • Screenshot_20240703-234833_Lite.jpg
    237.3 KB · Views: 7
Noma sana Nabii Dominic ni TAPELI nashangaa serikali inaacha anawaibia RAIA ,hana tofauti na WACHEZA KARATA TATU.
 
AnaJiita Kiboko ya wachawi? Wachawi gani!! Awe makini,nitamhamisha mji.
 
Na majina piga usikie we patriot 3 ama 4 haha
Kama mpiga lamri vile. Hadi moja nimeurekodi. Eti: mwenye nyumba alikuaga siku moja kuwa anaenda Bagamoyo. Anajibu, ndio baba. Na alijikooesha nauli kwako. Ndio baba. Siku hiyo ndipo alipoenda kwa mganga😄
 
Ccm haiwezi kumxhunguza, wanajua kabisa ni tapeli, lakini kwao ni vzr wa Tanganyika waendelee kuumizwa na kuamini shida zao zitatstuliwa kwa maombi na sio uwajibiksji wa serikali, shida zisipoisha, wananchi wanasema Mapenzi, ya, Mungu, hapo mi ccm inafurahi, ujinga uendelee wasilaumiwe wao kwa madudu kibao ya nchi hii
 
GENTAMYCINE nilikuwa wa Kwanza kwa KULISEMEA hili na KUWAOMBA Serikali haraka sana wachukue hatua dhidi yake ila WAKAPUUZA na nilipofuatilia nikagundua kuwa licha ya huyu Mpuuzi kuwa ni Tapeli ( Muongo ) 100% ila pia ni Mganga wa Kienyeji na anawasaidia mno Kiushirikina Mawaziri wako Waandamizi Wanne ( 4 ) ambao ndiyo Wanamlinda ( Wanamkingia Kifua ) lakini anamsaidia pia Kiushirikina na Oldest Isles Queen Wenu kama anavyofanyiwa pia ni yule Samjo Samjo ( Muongo Muongo ) wenu wa Cow Way na Tamasha lake la Mazuzu la Weekend hii.

Pole sana kwa Kupoteza muda wako kwa kuomba wale anaowasaidia Kiushirikina ili wamdhibiti.
 

Pdidy wamefukuxwa au wamekimbia wenyewe?
 

Viongozi wa dini wana kazi kubwa yakulisaidia taifa kwa kujenga jamii yenye maadili. Wanawaongoza watu kushika amri na sheria za Mungu....

Ila huyu ameweka wazi kabisa analea wazinzi. wadangaji na michepuko sababu tuu wanampatia sadaka.

Huyu ni mchungaji wa kupoteza kondoo wa Mungu kwa kuwapekeka gizani zaidi na sio mchungaji anatafuta kondoo waliopotea

Cc Wizara ya Afya Tanzania


Your browser is not able to display this video.
 
Ambacho hamkijui ni kwamba kwa hawa manabii na mitume fake, wanaohudhuria zaidi ni waislamu na wapagani.

Mtu hawi mkristo kwa sababu ya kuhudhuria kanisani.

Hawa wapagani na waislamu hununua sana maji na makokoro mengine wakiaminishwa ni kinga, dawa ya kufanikiwa kibiashara, nk.
 

Umeandika halafu ukaandika tena makokoro mengine
 
Pdidy wamefukuxwa au wamekimbia wenyewe?
WAKIFUKUZWAA MKUU KUNA MAKUHANJ WALIPIGA DIOI ZA MAJI NA MAFUTA WAKAWA WANASISLIANA NA MADADA WA CONGO WAKATOA MZIGO MREFU WAKAGOMA KUFIKISHA WALA KUWATUMIA

MADADA WAKAENDELEA KUPIGA AWAPOKELEWI WAKAFUNGA SAFARI WAKAKUTANA NA BAJAJI KUULIZA KAA NABII MUSA WAKAAMBIWA 25000 WAKATOA TOKA MAGUFULI STAND

WANAUME WAKAWAPELEKA MPAKA KMR KEEPLEFT WAKAGEUKA WAKAWAPELEKA KWA NABII KUFIKA WAKAMWONA LIVE LIKASAMBUKA WAKAHOJIWA WAKAKIRI WAKAMBIWA WARUDISHE WENGI WALIKOSA KUMALIZIA AKAWAFUKUZA
 
HIYU ALIJAZA NA FOMU KAPIGWA 500000 KAANDIKA NA NAMBA ZAKE
HATAREE
 

Attachments

  • Screenshot_20240704-133613_Lite.jpg
    370.4 KB · Views: 9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…