Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

anapeleka wakuu wa kata serk za mitaa na ma ocd kila siku kanisan kwake kuwanyamazisha wananchi ati mkongo wa dar aisee anajichubua kila siku kama...
 
Nakusanua bro asilimia sabini ya waumini huko ni waislam
Ilimradi tu uwachafue na waislamu, dah! yani shughuli ipo kwako lakini unajidanganya wenye shughuli ni majirani! ... huu ni ujinga wa hali ya juu kabisa!

Kubali kataa ila wakristo wanapigwa sana kwa kutumia jina la UKRISTO na YESU! huyu kajikita kwenye uchawi na wanapiga sana pesa hawa kwa kuwa mentality ya waafrika imejaa dhana ya uchawi, mnadanganywa tu kila siku kwa kuhalalishiwa imani mliyotengenezewa ya kuwadhania uchawi waislamu wakati ibada nyingi zinazoendeshwa makanisani ni za kukemea mapepo na uchawi.

AMKENI, tambueni kipaumbele cha dini siku zote ni kutengeneza maisha yako baada ya haya ya duniani na sio kukufanya uishi kama mfalme hapa duniani. Yani waAfrika tabu sana sisi, wengi tumekalia imani za kichawi chawi tu .... ukikosa kazi basi umelogwa, binti kama hajaolewa basi kalogwa, mtoto amefeli shule basi kalogwa .... Dah!
 
Ilimradi tu uwachafue na waislamu, dah! yani shughuli ipo kwako lakini unajidanganya wenye shughuli ni majirani! ... huu ni ujinga wa hali ya juu kabisa!

Kubali kataa ila wakristo wanapigwa sana kwa kutumia jina la UKRISTO na YESU! huyu kajikita kwenye uchawi na wanapiga sana pesa hawa kwa kuwa mentality ya waafrika imejaa dhana ya uchawi, mnadanganywa tu kila siku kwa kuhalalishiwa imani mliyotengenezewa ya kuwadhania uchawi waislamu wakati ibada nyingi zinazoendeshwa makanisani ni za kukemea mapepo na uchawi.

AMKENI, tambueni kipaumbele cha dini siku zote ni kutengeneza maisha yako baada ya haya ya duniani na sio kukufanya uishi kama mfalme hapa duniani. Yani waAfrika tabu sana sisi, wengi tumekalia imani za kichawi chawi tu .... ukikosa kazi basi umelogwa, binti kama hajaolewa basi kalogwa, mtoto amefeli shule basi kalogwa .... Dah!
Hajachafuliwa mtu,sikiliza au nenda kanisani kwake utawakuta na ndugu zako katika uislam

Nenda insta utamkuta kwenye post moja kajaa tele ofisini kwa Mufti

Eid ya kuchinja kapeleka ng"ombe na vitenge bakwata ,Yote ni kuongeza wigo , bila kupaza sauti watajaa zaidi bila kujali dini,Wapo mpaka wapagani
 
Ilimradi tu uwachafue na waislamu, dah! yani shughuli ipo kwako lakini unajidanganya wenye shughuli ni majirani! ... huu ni ujinga wa hali ya juu kabisa!

Kubali kataa ila wakristo wanapigwa sana kwa kutumia jina la UKRISTO na YESU! huyu kajikita kwenye uchawi na wanapiga sana pesa hawa kwa kuwa mentality ya waafrika imejaa dhana ya uchawi, mnadanganywa tu kila siku kwa kuhalalishiwa imani mliyotengenezewa ya kuwadhania uchawi waislamu wakati ibada nyingi zinazoendeshwa makanisani ni za kukemea mapepo na uchawi.

AMKENI, tambueni kipaumbele cha dini siku zote ni kutengeneza maisha yako baada ya haya ya duniani na sio kukufanya uishi kama mfalme hapa duniani. Yani waAfrika tabu sana sisi, wengi tumekalia imani za kichawi chawi tu .... ukikosa kazi basi umelogwa, binti kama hajaolewa basi kalogwa, mtoto amefeli shule basi kalogwa .... Dah!
Ndugu umepanic
Huo ndiyo ukweli ukienda kwa mwamposa na manabii wengine wengi asilimia kubwa ya waumini ni waisilamu naweza kusema karibu nusu ni waislamu
 
Wewe bila shaka utakuwa mganga wa kienyeji wakala wa shetani 🤔
 
Kesho ntapambana kufika kanisani kwake na anapoishi kupata taarifa za majirani, ntazileta humu.

Nimeamua kufanya personal investigative journalism,Kisha ntawapa bure BBC na huku JF.

Stay Tuned.
 
SPIRIT OF EVIL IMESAMBAA MAKANISAN
 

Attachments

  • Screenshot_20240703-211607_Lite.jpg
    Screenshot_20240703-211607_Lite.jpg
    465.1 KB · Views: 6
Kesho ntapambana kufika kanisani kwake na anapoishi kupata taarifa za majirani, ntazileta humu.

Nimeamua kufanya personal investigative journalism,Kisha ntawapa bure BBC na huku JF.

Stay Tuned.
Sawa
 
Kwa wakristo acha tu wapigwe hakuna serikali kuingilia kati, ukiwasanua hawakawii kukuambia wewe ni Kobazi unawaonea wivu manabii wao, acha wapigwe hswaa, kama yule dogo anajiita IPM, ni muislam pure ila nae anajifanya nabii apige ela za wakristo
Wapigwe tu mkuu , ngoja na mimi nijinoe nije ni wabamize tu vile vile.
 
Thanks sana Burrell ,watu wanatapeliwa kijinga sana ,sijui kwanini wanashindwa kuona USANII wa wazi wazi wa hao MATAPELI kupitia Dini.

Jamaa amejitajirisha sana kwa kuwaibia watu,kwasasa anatoa misaada kuficha WIZI wake ,ametoa DIFENDA tatu kwa kituo cha Polisi kwa ajili ya patrol ,kwasasa anatoa misaada ya kijamii kwenye taasisi mbali mbali ,anagawa fedha elfu 10 kumi sehemu anazopita.
NIiliPELEKWAGA NA JAMAA MMOJA PALE AKANIIINGIZA OFISIN KWAKESHIKA PAKA MAFUTA NAHISI IMEISHA ANATAKA LAK 3 NA TAR YA MWISHO KAMA NIMEHAIDIWA KAZI KHA SIKURUDI TENA SASA HIVI KAMA UNAWEZA FWATILIA KUNA MABIBI WAMESHARE NA PAST MWENZAKE PAST LUMUMBA KAMTIMUA LIVE KANISAN

BAADAYA JAMAA KUHAIDI KUSANUA ISSUE NZIMA KAMTANGAZA MAJUZI AMEMRUDISHA SEMA KANISAN HATOINGIA ATAKUWA ANAFANYA KAZI ZA OFISIN

JEHENUM IMEKARIBIA
 
Google kiboko ya wachawi amtimua past kanisan ucheke
 
IBADA MBALI MBALI KWA SASA BAADA YA KUTANGAZWA NA MITANDAO ANALETA KANISAN MWENYEKITI SERKL ZA MITAA UNASIKIA TU OOOH LEO TUNA UGEN WA ......ANASIMAMISHWA UNASIKIA ANAONGEA NAOMBA NIWAHAKIKISHIE MKO SALAMA KABISA MSIYUMBISHWE

NXTY UNASIKIA LEO TUNA OXD KAJA KUTUSALIMIA SAME WORDS LOH

KUNA SIKU ALIDANGANYA WAUMINI ANACHINJA NGOMBE 7 WASIENDE BILA HELA YA CHAKULA MSOSI UKAANZA KUGAIWA SAA 12 JION WATU WASHAGEUKA MAKWAO

MJINI SHULE CHETI MATOKEO TU
 
IBADA MBALI MBALI KWA SASA BAADA YA KUTANGAZWA NA MITANDAO ANALETA KANISAN MWENYEKITI SERKL ZA MITAA UNASIKIA TU OOOH LEO TUNA UGEN WA ......ANASIMAMISHWA UNASIKIA ANAONGEA NAOMBA NIWAHAKIKISHIE MKO SALAMA KABISA MSIYUMBISHWE

NXTY UNASIKIA LEO TUNA OXD KAJA KUTUSALIMIA SAME WORDS LOH

KUNA SIKU ALIDANGANYA WAUMINI ANACHINJA NGOMBE 7 WASIENDE BILA HELA YA CHAKULA MSOSI UKAANZA KUGAIWA SAA 12 JION WATU WASHAGEUKA MAKWAO

MJINI SHULE CHETI MATOKEO TU
[emoji23][emoji23]
 
NA SASA ANAGAWA MISAADA OVYO KUFICHA......ILA IBADAN ANAWAMBIA WAZI ATAKI MUUMMIN MASIKINI ASIETOA SADAKA KUBWAAAA SO WALIOPO SIO SKWANBA AWAJUI UJINGA WAO WANATAKA MAFANIKIO YA HARAKA

KUNA CLIP ANASEMA KANISAN NATOA KAFARA LEO MMMH...NAPITATU
 
NA SASA ANAGAWA MISAADA OVYO KUFICHA......ILA IBADAN ANAWAMBIA WAZI ATAKI MUUMMIN MASIKINI ASIETOA SADAKA KUBWAAAA SO WALIOPO SIO SKWANBA AWAJUI UJINGA WAO WANATAKA MAFANIKIO YA HARAKA

KUNA CLIP ANASEMA KANISAN NATOA KAFARA LEO MMMH...NAPITATU
Duh
 
Back
Top Bottom