Wizara inayohusika na Sayansi na teknolojia ije na Sera ya kuharakisha maendeleo ya teknolojia ya Anga za mbali

Wizara inayohusika na Sayansi na teknolojia ije na Sera ya kuharakisha maendeleo ya teknolojia ya Anga za mbali

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Ni muda muafaka sasa wa kubadilisha muelekeo wa kutweka jahazi la mama Tanzania.
Wenzetu duniani wanakimbia sana kwenye swala la teknolojia ...na wanachokifanya ni kimoja tu...kila wazo liwe la mzaha au lenye ambition kubwa wanalifanyia kazi.
Turejee ideas na values za jamii ya kiasili iliyopo Tanzania mfano wahadzabe na wamasai na bila kupoteza muda tuchukue ideas zao na kuzimordenize.
Hapa tutaenda sambamba na teknolojia.
Kila mwanafunzi kuanzia darasa la 5 aanzishiwe au aanze project ya maisha yake..asaidiwe kuiboresha akue nayo hadi akifika chuo kikuu aweze kumalizia implimentation.
Nayaweka haya ili tuanze kujiandaa na iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo...pengine sisi hatukupata fursa hii.
Tusikubali ngwini wababe ajenda za majadiliano ya kitaifa ambapo kutwa kucha ni kuomba katiba mpya ...upuuzi usio na tija kwani hata USA Kwenye katiba bora tunaona hakuna daftari la wapiga kura.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

JF THE HOME OF GREAT THINKERS.
 
Huko tunaenda mbali sana. Nataman wanasayansi watafiti hihi kwann mpaka sasa watu hawana vyoo, tuna ardhi kubwa na ya rutuba lakini tumeshindwa kuzalisha chakula Cha kutosha, kwann watoto mashuleni wanakaa chini na kukosa mlo wa mchana, kwann na imewezekanaje watu kutumia maji ya madimbwi lakini bado wanapigia kura watawala walewale.
 
👇
 

Attachments

  • 20241031_101347.jpg
    20241031_101347.jpg
    117.5 KB · Views: 5
Ni muda muafaka sasa wa kubadilisha muelekeo wa kutweka jahazi la mama Tanzania.
Wenzetu duniani wanakimbia sana kwenye swala la teknolojia ...na wanachokifanya ni kimoja tu...kila wazo liwe la mzaha au lenye ambition kubwa wanalifanyia kazi.
Turejee ideas na values za jamii ya kiasili iliyopo Tanzania mfano wahadzabe na wamasai na bila kupoteza muda tuchukue ideas zao na kuzimordenize.
Hapa tutaenda sambamba na teknolojia.
Kila mwanafunzi kuanzia darasa la 5 aanzishiwe au aanze project ya maisha yake..asaidiwe kuiboresha akue nayo hadi akifika chuo kikuu aweze kumalizia implimentation.
Nayaweka haya ili tuanze kujiandaa na iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo...pengine sisi hatukupata fursa hii.
Tusikubali ngwini wababe ajenda za majadiliano ya kitaifa ambapo kutwa kucha ni kuomba katiba mpya ...upuuzi usio na tija kwani hata USA Kwenye katiba bora tunaona hakuna daftari la wapiga kura.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

JF THE HOME OF GREAT THINKERS.
Huu ni ukichaa
Nchi imeshindwa kujitegemea inategemea misaada
Huduma za afya mbovu, barabara mbovu, vumbi kila kona alafu ufikirie kwenda sayari nyingine
 
Tunakushukuru sana serikali ya Japan kwa Matundu 25 ya vyoo kwa wanafunzi na waalimu watapata shehemu salama ya kujisaidia

CCM hoyeee hakika mama anaupiga mwingi mpaka Japan imetujengea vyoo zaidi ya 20.
 
Vichwa vyote pale juu vinashindwa kubuni njia za kutengeneza pesa like ( industrial revolutions) , kazi kukopa tu.🚮
Tatizo siyo vichwa vilivyopo juu, ni wananchi kwa ujumla kwani vichwa hivyo hutoka miongoni mwa wananchi.
Kazi kubwa inatakiwa kuinua uwezo wa fikra na mali kwa wananchi, viongozi wazuri watapatikana pale tu wananchi wanakuwa smart.
Paka hazai chui au Simba, labda afanyiwe genetical modifications.
 
Huko tunaenda mbali sana. Nataman wanasayansi watafiti hihi kwann mpaka sasa watu hawana vyoo, tuna ardhi kubwa na ya rutuba lakini tumeshindwa kuzalisha chakula Cha kutosha, kwann watoto mashuleni wanakaa chini na kukosa mlo wa mchana, kwann na imewezekanaje watu kutumia maji ya madimbwi lakini bado wanapigia kura watawala walewale.
hizo ninfikra za waliozeeka kwenye space hakuna vyoo pia
 
Huu ni ukichaa
Nchi imeshindwa kujitegemea inategemea misaada
Huduma za afya mbovu, barabara mbovu, vumbi kila kona alafu ufikirie kwenda sayari nyingine
Umezaliwa lini?
Hata USA ilipitia kipindi hiko na wakati wakipitia kipindi hiko walianza kuifikiria na kuifanyia kazi teknolojia.
Hizi taarifa za Vyoo hakuna,barabara mbovu n.k ni matokeo ya propaganda za vyombo vya habari.
Jiulize ni mara ngapi unahabarishwa kuhisu innovations zilizopo D.I.T au UDSM?wewe kazi ni kuletewa taaarifa ya Mtoto kabakwa halafu vifo kwa wivu wa kimapenzi halafu mtu katekwa....Endelea kuwa dunderhead na kuamini huo ujinga.
 
Umezaliwa lini?
Hata USA ilipitia kipindi hiko na wakati wakipitia kipindi hiko walianza kuifikiria na kuifanyia kazi teknolojia.
Hizi taarifa za Vyoo hakuna,barabara mbovu n.k ni matokeo ya propaganda za vyombo vya habari.
Jiulize ni mara ngapi unahabarishwa kuhisu innovations zilizopo D.I.T au UDSM?wewe kazi ni kuletewa taaarifa ya Mtoto kabakwa halafu vifo kwa wivu wa kimapenzi halafu mtu katekwa....Endelea kuwa dunderhead na kuamini huo ujinga.
Wewe ni mjinga sana yaana unaiweka marekani na Tanzania kwenye sentensi moja
Ufikirie technologia ilihali wananchi wako hawana uhakika wa milo mitatu

Kwamba nchi ambayo inategemea huruma za wazungu kweny mambo lukuki leo hii iwaze kufanya space exploration

Nchi ambayo kuwapa tu wana-nchi wake ARVs imekua ni mtihani, apo sijaongelea chanjo za watoto nchi inapewa bure alafu ianzishe space exploration

Nchi ambayo vyoo bado ni changamoto kwa wananchi wake alafu ianzishe space exploration

Nchi ambayo umeme ni wakuunga-unga leo hii ianzishe space exploration

Nchi ambayo wanafunzi wanakaa chini alafu ianzishe space exploration
 
Huko tunaenda mbali sana. Nataman wanasayansi watafiti hihi kwann mpaka sasa watu hawana vyoo, tuna ardhi kubwa na ya rutuba lakini tumeshindwa kuzalisha chakula Cha kutosha, kwann watoto mashuleni wanakaa chini na kukosa mlo wa mchana, kwann na imewezekanaje watu kutumia maji ya madimbwi lakini bado wanapigia kura watawala walewale.
Huko pia unaenda mbali, wanasayansi watafiti hili:-

Kwann tunaweka madarakani rais kilaza?
 
Wewe ni mjinga sana yaana unaiweka marekani na Tanzania kwenye sentensi moja
Ufikirie technologia ilihali wananchi wako hawana uhakika wa milo mitatu

Kwamba nchi ambayo inategemea huruma za wazungu kweny mambo lukuki leo hii iwaze kufanya space exploration

Nchi ambayo kuwapa tu wana-nchi wake ARVs imekua ni mtihani, apo sijaongelea chanjo za watoto nchi inapewa bure alafu ianzishe space exploration

Nchi ambayo vyoo bado ni changamoto kwa wananchi wake alafu ianzishe space exploration

Nchi ambayo umeme ni wakuunga-unga leo hii ianzishe space exploration

Nchi ambayo wanafunzi wanakaa chini alafu ianzishe space exploration
Yote hayo ulimezeshwa kimkakati.Hata Marekani kuna wanaoishi barabarani na ombaomba wa kutupwa.

BE A GREAT THINKER ...Hayo waachie wanasiasa wa upinzani
 
sehemu zote hizo mnazoibia Hela za watanzania bado mnatafuta njia nyingine...kuweni na huruma
 
Unaongelea Technology then unasema technolgy za wahadzabe na wamasai upo serious kweli.
 
Unaongelea Technology then unasema technolgy za wahadzabe na wamasai upo serious kweli.
Unadhani Technology wanaitoa wapi?
Vijana wa siku hizi mu wavivu sana kuelewa
 
Hapana siyo na itv,

Tunahitaji sustainable development .. Kwanza mengine baadae
Hata USA Matundu ya vyoo hayatoshi yanajengwa kila kukicha ,njaa ipo,majanga na athari zake zipo,wizi wa kura upo na mauzauza yote yapo ila hawaachi kufanya exploration.

 
Back
Top Bottom