Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
- Thread starter
-
- #41
Aiseee... hii hali inaumiza watoto wengi sana...Kwakweli ni hatari kwa afya ya mtoto, kuna mtoto amepata tatizo la kuchomoka mkono eneo la bega kwasababu ya mzigo wa bag la vitabu na madaftari. Kitoto chenyewe kidogo.
Hhhhh...Kubebeshwa mabegi ni mafunzo Kwa vitendo kuelekea umachinga kamili pale wanapomaliza shule. Sababu wanashauriwa kujiajiri wakati ajira hakuna.
Unalalama kuchangia elimu ya mwanaoUmesahau michango kila siku na cha ajabu zaidi juzi darasa la saba Dar wamefanya Mock mkoa lakini tumechangishwa wazazi kugharimia mock hiyo mfano mzuri shule ya msingi Kizinga Mbagala wilaya ya Temeke. Wamepata mbinu mpya wanawaita wazazi wanawaeleza sababu kibao za kuhalalisha hii michango yao. Tumemjulisha Afisa Elimu mkoa kuhusu kadhia hii hakuna jibu alilotoa. Na lengo lao tumelifahamu kumuharibia mama yetu tu. Maana kiasi cha pesa kinachopelekwa mashuleni ni kilekile tena sasa hivi kuna nyongeza kidogo lakini michango kila siku. Kwanini enzi za JPM kiasi hiki kiliwezekana leo kimeongezeka kishindikane. Prof Mkenda na Waziri wa Tamisemi liangalieni hili.
Sio binafsi tu Kuna Ndugu yangu mwanae anasoma shule ya serikali tena ni English medium ipo mkoa mmoja nyanda za juu kusini hali ni hiyo hiyoNazungumza na mwanangu hapa sasa hv, anasoma shule binafsi, anasema walimu hawafuati ratiba, maana unakuta somo ambalo halipo leo mwalimu wake ndio anakuja darasani na anasema usipokuwa na daftari lake unapigwa. Kwa kweli wizara ya elimu iziangalie hizi shule binafsi. Mwanangu mpaka anapinda mgongo. Mtoto wa miaka 9 anabeba counter books 12, vitabu 6 n.k. yaani mpaka begi anapata tabu kulinyanyua
Kuwa mpoleWatoto siku hizi wamekuwa kama PUNDA kwanini Waalimu wanawabebesha watoto mabegi mazito na makubwa kuliko hata kilo zao??
Je hakuna ratiba maalumu ya masomo?
Hili tatizo lipo kwa ngazi zote Msingi mpaka Sekondari.
Vitu vinavyobebwa ni kama ifuatavyo
1_ Sweta
2_Chupa la maji
3_Vitabu si chini ya nane
4_Madaftari kumi na kuendelea
5_Kompasi/Mkebe
6_Rangi boksi zima + Peni + Penseli
Na vitu vingine
Ukipiga mahesabu hapo si chini ya kilo 8 mtoto anabeba mgongoni na huyo mtoto:
- Adandie daladala.
- Huyo huyo atembee umbali mrefu.
- Huyo huyo ashinde bila kula huko shule.
- Huyo huyo awahi kuamka asubuhi (Zingatia mzigo anaozunguka nao mgongoni siku nzima)
Niulize swali: Hivi haiwezekani kukajengwa cabinets za kuhifadhi madaftari ya darasani huko huko shule?
Maswala ya Homework vitengenezwe vitabu/Daftari maalumu bila kumlazimu mtoto kutembea na midaftari mingi?
Hivi hakuna sophisticated mechanism itakayowaokoa hawa watoto?
Watoto wanatoka vibiongo wanaumwa migongo na kuchoka mno.
Ila sishangai maana hata waalimu nao wanamapochi makubwa wamejaza Kashata, ubuyu na Kababu hawawezi kuwa na huruma.
punda_ideology
Mwanaume usililie vya bure.Nini maana ya bure? Mbona pedi wanawapa bure..?
Hapo umekaa kwa shemeji yakoSema wazazi wa Dar mnazingua sana. Hao watoto wenyewe mnaowasema school bus inamchukua getini inamshusha kwenye gate la shuleni. Hilo begi analibeba kutoka kwenye geti la shule mpaka darsani maana huku nyumbani akirudi kuna dada wa kazi anayekuja kumpokea kwenye school bus atambebea begi.
Acheni kuwa maronya ronya
Labda kama unasemea Dar , kwingineko Tz nzima wanafunzi hawapandi Daladala kama wapo hawafiki hata 200 kwa nchi nzima.Watoto wanasoma bweni walioday wanasoma shule zilizokaribu na makwao.Dar shida ni umasikini.Watoto siku hizi wamekuwa kama PUNDA kwanini Waalimu wanawabebesha watoto mabegi mazito na makubwa kuliko hata kilo zao??
Je hakuna ratiba maalumu ya masomo?
Hili tatizo lipo kwa ngazi zote Msingi mpaka Sekondari.
Vitu vinavyobebwa ni kama ifuatavyo
1_ Sweta
2_Chupa la maji
3_Vitabu si chini ya nane
4_Madaftari kumi na kuendelea
5_Kompasi/Mkebe
6_Rangi boksi zima + Peni + Penseli
Na vitu vingine
Ukipiga mahesabu hapo si chini ya kilo 8 mtoto anabeba mgongoni na huyo mtoto:
- Adandie daladala.
- Huyo huyo atembee umbali mrefu.
- Huyo huyo ashinde bila kula huko shule.
- Huyo huyo awahi kuamka asubuhi (Zingatia mzigo anaozunguka nao mgongoni siku nzima)
Niulize swali: Hivi haiwezekani kukajengwa cabinets za kuhifadhi madaftari ya darasani huko huko shule?
Maswala ya Homework vitengenezwe vitabu/Daftari maalumu bila kumlazimu mtoto kutembea na midaftari mingi?
Hivi hakuna sophisticated mechanism itakayowaokoa hawa watoto?
Watoto wanatoka vibiongo wanaumwa migongo na kuchoka mno.
Ila sishangai maana hata waalimu nao wanamapochi makubwa wamejaza Kashata, ubuyu na Kababu hawawezi kuwa na huruma.
punda_ideology
Watoto siku hizi wamekuwa kama PUNDA kwanini Waalimu wanawabebesha watoto mabegi mazito na makubwa kuliko hata kilo zao??
Je hakuna ratiba maalumu ya masomo?
Hili tatizo lipo kwa ngazi zote Msingi mpaka Sekondari.
Vitu vinavyobebwa ni kama ifuatavyo
1_ Sweta
2_Chupa la maji
3_Vitabu si chini ya nane
4_Madaftari kumi na kuendelea
5_Kompasi/Mkebe
6_Rangi boksi zima + Peni + Penseli
Na vitu vingine
Ukipiga mahesabu hapo si chini ya kilo 8 mtoto anabeba mgongoni na huyo mtoto:
- Adandie daladala.
- Huyo huyo atembee umbali mrefu.
- Huyo huyo ashinde bila kula huko shule.
- Huyo huyo awahi kuamka asubuhi (Zingatia mzigo anaozunguka nao mgongoni siku nzima)
Niulize swali: Hivi haiwezekani kukajengwa cabinets za kuhifadhi madaftari ya darasani huko huko shule?
Maswala ya Homework vitengenezwe vitabu/Daftari maalumu bila kumlazimu mtoto kutembea na midaftari mingi?
Hivi hakuna sophisticated mechanism itakayowaokoa hawa watoto?
Watoto wanatoka vibiongo wanaumwa migongo na kuchoka mno.
Ila sishangai maana hata waalimu nao wanamapochi makubwa wamejaza Kashata, ubuyu na Kababu hawawezi kuwa na huruma.
punda_ideology
Asilimia kubwa ya wafanya Maamuzi wengi wanasomesha wtt wao shule za Nje ya Nchihili haliwezi Kuisha Kaka
labda wao Wizara ya Elimu kila Mtoto wao aguswe au labda wanamiliki hizo Shule au wana Maslahi.
Kwa kweli ni hatari ya Kuumwa Back pain,Disc nk!
Wizara wanatakiwa Kutoa Muongozo kwa hili
Umewaza kwa Wananchi wa kipato cha chini?Mzazi mpeleke mwanao shule iliyo karibu na makazi yenu.....otherwise lipia school bus
Sio wote wanaosoma shule karibu na Makwao hata hao wa Mkoani.Labda kama unasemea Dar , kwingineko Tz nzima wanafunzi hawapandi Daladala kama wapo hawafiki hata 200 kwa nchi nzima.Watoto wanasoma bweni walioday wanasoma shule zilizokaribu na makwao.Dar shida ni umasikini.
Ndio Mkakati huo kuhakikisha mtt wa Kike anasoma wakati wote.Mwanaume usililie vya bure.
Wapi umeona wanapewa pedi bure?
Zile biashara za watu
Kama mzazi unakosa 3500 kwa mwezi kwa ajili ya binti yako hupaswi ishi, watakiwe ufeNdio Mkakati huo kuhakikisha mtt wa Kike anasoma wakati wote.
Wawapeleke shule zilizo karibu na makazi yao, mimi binafsi siku hizi singoji mtu/serikali inipambanie nafanya ninayoona yatafaa kwangu.Umewaza kwa Wananchi wa kipato cha chini?
Umemuonea bure, hajasema serikalini, yeye kataja neno ajira km neno la jumlaKwani lazima upate Ajira serikalini?