Wizara ya Elimu huku hali ni mbaya! Watoto mnawatengenezea Ulemavu

Kwakweli ni hatari kwa afya ya mtoto, kuna mtoto amepata tatizo la kuchomoka mkono eneo la bega kwasababu ya mzigo wa bag la vitabu na madaftari. Kitoto chenyewe kidogo.
Aiseee... hii hali inaumiza watoto wengi sana...
 
Unalalama kuchangia elimu ya mwanao
Usifate siasa elimu Ni pana kuna Mambo mengi haiwezi kutolewa bure
Wenzako wanalipia mamilion
We unachangia uji unalalama tu
 
Sio binafsi tu Kuna Ndugu yangu mwanae anasoma shule ya serikali tena ni English medium ipo mkoa mmoja nyanda za juu kusini hali ni hiyo hiyo

Hawafuati ratiba kabisa yaani wanasoma masomo yote kila siku.
Hakuna muda wa kujisomea maana wanakaa shuleni tangu saa moja asbuhi hadi 11:30 jioni mtoto anarudi nyumbani kachoka kama alikuwa vitani
 
Ku
Kuwa mpole
 
Hapo umekaa kwa shemeji yako
 
Labda kama unasemea Dar , kwingineko Tz nzima wanafunzi hawapandi Daladala kama wapo hawafiki hata 200 kwa nchi nzima.Watoto wanasoma bweni walioday wanasoma shule zilizokaribu na makwao.Dar shida ni umasikini.
 
Mzazi mpeleke mwanao shule iliyo karibu na makazi yenu.....otherwise lipia school bus
 

hili haliwezi Kuisha Kaka
labda wao Wizara ya Elimu kila Mtoto wao aguswe au labda wanamiliki hizo Shule au wana Maslahi.
Kwa kweli ni hatari ya Kuumwa Back pain,Disc nk!
Wizara wanatakiwa Kutoa Muongozo kwa hili
 
hili haliwezi Kuisha Kaka
labda wao Wizara ya Elimu kila Mtoto wao aguswe au labda wanamiliki hizo Shule au wana Maslahi.
Kwa kweli ni hatari ya Kuumwa Back pain,Disc nk!
Wizara wanatakiwa Kutoa Muongozo kwa hili
Asilimia kubwa ya wafanya Maamuzi wengi wanasomesha wtt wao shule za Nje ya Nchi
 
Labda kama unasemea Dar , kwingineko Tz nzima wanafunzi hawapandi Daladala kama wapo hawafiki hata 200 kwa nchi nzima.Watoto wanasoma bweni walioday wanasoma shule zilizokaribu na makwao.Dar shida ni umasikini.
Sio wote wanaosoma shule karibu na Makwao hata hao wa Mkoani.

Kutokana na uchache wa Shule inalazimika mtt kutembea umbali mrefu kufata huduma ya shule. Lipo wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…