Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,Napongeza uteuzi wa tax. Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara ,,sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe ,inawaondoa kwenye systeam watu mahsusi. Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
[emoji3][emoji3][emoji3]Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho
Wewe bila Shaka ndio naona Kama kichwa chako kinamatatizo yanayohitaji matibabu ya haraka Sana, kwa hiyo mtaka ndio atafanya majukumu ya Wizara zote ulizoziainisha hapo juu? Ukiona mtu anatumia matusi na lugha za matusi Kama ulivyofanya wewe Basi Ni dhahiri mtu huyo ana uelewa mdogo Sana wa kifikra na kimawazo, Kiufupi uwezo wako wa kufikiri ni mdogo ndio maana umeishia kushambulia watu hapa, usimpangie mh Rais wetu mpendwa watu wa kufanya nao kazi,Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho
Hatuna Wizara ya hivyo hapa Tanzania.Napongeza uteuzi wa Tax.
Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.
Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Wewe ni sawa na wale wapumbavu ambao mtu akiteukiwa nafasi Fulani ya kiutrndaji badala asaidie na kuleta tija huko unataka tena awe mwanasiasa ,sasa hapo unaua kipaji so usiwe mpumbavu.Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho
Ukiwa na system isio taka challenge huna budi chaguwa ndio madam people ila kwakuwa accountabilty anabeba yeye let funga midomoNapongeza uteuzi wa Tax.
Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.
Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Kwamba tuendelee kuwarudisha kazini wastaafu kila mara hali ya kuwa nchi ni ya wote.Napongeza uteuzi wa Tax.
Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.
Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Mtaka ana akili kubwa kwa kipimo kipi hasa ulichojiridhisha nacho?Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho
In fact Mtaka nimefanya nae kazi. Ni mtu wa domodomo. Ukiwa nae mbali utafikiri ni mchapakazi sana. Ukiingia uvunguni mwake utagundua ni mtu wa kujizoazoa alimradi aonekane anajambo analofanya. Waziri hatakiwi kuwa kama Mtaka.Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho