Wizi Ndani ya Kanisa la WASABATO: Kiko Wapi Sasa? Maana Mnajiona Kama Ndugu wa Musa, Eliah na Yesu

Wizi Ndani ya Kanisa la WASABATO: Kiko Wapi Sasa? Maana Mnajiona Kama Ndugu wa Musa, Eliah na Yesu

Hayo ni ya kwako. Ila binafsi sijawahi kuwasikia Wasabato wakisema wao huwa hawatendi dhambi.

Kwanza, wakiwa kwenye maombi huwa wanatanguliza neno "..utusamehe kwa dhambi tulizozitenda, maana sisi siyo wakamilifu..."

Pili, hilo la kutetea mafundisho yao mbona lipo kwa kila dhehebu au dini?

1.Hujawahi kuwasikia Waislamu wanaita wenzao Makafiri huku wanaiba,kuuza madawa ya kulevya na kila aina ya uchafu?

2.Vipi Wakatoliki wanaosema Kanisa lao ndo pekee la kweli lililoachwa na Mitume huku wakifundisha au kufanya vitu ambayo Mitume hawakuwahi kurithisha?

3.Hujawahi kukutana na katoto kazuri ka Kilokole kanakwambia hakawezi kuolewa na mtu asiye mlokole, maana lenyewe kamejaa Roho Mtakatifu, kumbe nyuma ya pazia kana pigwa miti na kila mwenye mti unaosimama? Wapiga vinanda, Walimu wa kwaya, Wachungaji,Manabii,Wahasibu wa Kanisa,n.k wote walishawahi anafumua.
 
Aliiba Yuda Muasibu wa Yesu, unashangaa huyo dogo Mapande kuiba?
Sabato SDA duniani wanaamini katika financial transparency, wizi na ufujaji huanza kwa watu kutocomply na sera ya kanisa ya uwazi wa kifedha kwa sababu afrika na kama TZ kumefundishwa kuhojihoji ni kukosa heshima. Hii tabia inalitafuna taifa katika nyanja zote sio dini tu.
 
Kwa kusali Jumamosi tofauti na Madhehebu mengine na wanawake wao kutovaa hereni na kutengeneza nywele wanajifanya ni watakatifu sana. Kumbe hawana lolote. Ona wizi wa mamilioni hapa

View attachment 3109363
Kusali Jumamosi mkuu hakuhusiani na Imani ya mtu mmoja,mmoja hata huko walikomuua Yesu, walikuwa ni washika dini, Mafarisayo,Waandishi,Masadukayo,pigania Imani Yako wewe mwenyewe.
 
Kwa kusali Jumamosi tofauti na Madhehebu mengine na wanawake wao kutovaa hereni na kutengeneza nywele wanajifanya ni watakatifu sana. Kumbe hawana lolote. Ona wizi wa mamilioni hapa

View attachment 3109363
Umepata pa kusemea ? Ulikosa la kuwakosoa ? Kwa hasira hizi juu yao,, inatupa ushuhuda kuwa kumbe ni wakweli na ulikosa dosari mpaka ulipovizia walioiba. Je wasingeiba ungekosoa nini ? Mbona nasikia wasabato ni wakali kukemea dhambi mpaka wanawafuta washiriki wao wanapokosea .? Dini zote hukemea uovu, labda Imani yako imekemewa sana na hao wasabato.
 
Dhambi zote husamehew
Mkuu zipo dhambi za kusamehewa ila sio hii ya WIZI WA FEDHA ZA SADAKA, maana wana sema sandakan ni ya Mungu. Zambi kama kusema uongo, tendo la ndoa kwa mtu asie na ndoa, n.k. hizi zinaweza kusameheka.
a,hataYuda angetubu ,angesamehewa
 
Mkuu zipo dhambi za kusamehewa ila sio hii ya WIZI WA FEDHA ZA SADAKA, maana wana sema sandakan ni ya Mungu. Zambi kama kusema uongo, tendo la ndoa kwa mtu asie na ndoa, n.k. hizi zinaweza kusameheka.
Sheria itumike wala sio shida. Kama ni kutengwa na adhabu nyingine ndani ya kanisa ni sawa kabisa, hawa ni wahalifu kama wengine tu. Tuhuma dhidi yao zikithibitika wapewe stahiki yao.

Watu wa namna hii makanisani hufanya watoa sadaka kuwa na doubt sana.
 
Kwa kusali Jumamosi tofauti na Madhehebu mengine na wanawake wao kutovaa hereni na kutengeneza nywele wanajifanya ni watakatifu sana. Kumbe hawana lolote. Ona wizi wa mamilioni hapa

View attachment 3109363
Sipendi hili thehebu ila sina chuki na wanaosali huko.

Umeandika kwa kuongozwa na chuki ndio mana ulichokiandika hakina resoning.
Hofu yangu utaishia kuchekwa na walimwengi wa humu
 
Nionyeshe Padre au askofu au papa ambaye Licha ya kutuhumiwa kujihusishanna matendo ya Ushoga, kubaka, na kulawiti watoto, wamewahi kufikishwa Mahakamani.
Unasemaje wewe???

Screenshot_20240928-161300.png
 
Brother hakuna anayekasirika, kuambiwa kwamba sio sahihi kufanya hivo haimanishi tuna chuki na wakatoliki, lahasha binafsi mimi nawapenda sana wakatoliki hawana shida yoyote, shida iko huko juu mnaongozwa na watu wanaojua ukweli na kuwaficha.
Sala za bikira hazina msingi wowote wa maandiko, na hakuna sehemu tumeambiwa tuombe kwa kupitia bikira, bali paulo anatuambia mediator ni mmoja tuu kati yetu na mungu, naye ni yesu kristu.

Hii sio mara ya kwanza wahasibu wa kanisa kukutwa na makosa kama hayo, hii inakuumbua tuu kama mtu uliyekuwa na chuki dhidi ya wasabato, kwasababu huyo ni mtu mmoja tuu aliyetenda hilo kosa, sasa mbona unalisema kanisa zima?? Uwe unatumia akili
Bikra Maria na maoni ya Ellen's GWht yapi ya kusadikii.........

Aliyemtunza mtoto yesu mnazarau hana mchango wowote Daaah so sad
 
Wasabato wote wez tu ndo maana Vatican ilimfukuza mama yenu na baasha wake nabii wa kutabir mwisho wa dunia wa mchongo ..........
...........Watoto wa Catholic Church..........
 
Bora niwe Muslim sio Sabathonism mnajifanyaga mbiguni kama kwenu yaani kila siku kubattle na Roman Catholic ndo maana Mtume Paul aliwapinga sana tangu kitambo ,Mababu zenu wafarisayo kutwa kumsema Yesu vibaya Mara ooh kwa nini msaidie mtu siku ya sabatho Aya kitimoto Alam na kambale tupeni sababu 50 kwa nini tusilie kambale.......
......ntarud
 
Back
Top Bottom