Wizi wa catalytic converter kwenye magari 'Masega'

Wizi wa catalytic converter kwenye magari 'Masega'

Yanakua sehemu gani kwenye exhaust, na wanaoyanunua wanayatumia kwenye nini au wanakuja kuyauza garage bubu
 
Aiseeeee. Hebu nikuambie kitu kimoja. Katika gari kila sensor unayoijua signal yake lazima inatumika mahali. Siyo tu kumonitor halafu basi.

Mfano ECT sensor na TPS sensor za engine signal zake hutumika katika gear shifting kwenye gearbox.
Brother JituMirabaMinne stay focused

Hapa tunazungumzia hiyo sensor uliyosema unamwekea mtu kama masega yakitolewa.

Nashangaa tumefika na kwenye sensor ya gearbox.

I rest my case mkuu

Sent from my Redmi S2 using JamiiForums mobile app
 
Brother JituMirabaMinne stay focused

Hapa tunazungumzia hiyo sensor uliyosema unamwekea mtu kama masega yakitolewa..

Hakuna mahali mimi nimeandika kwamba Masega yakitolewa mtu anawekewa Oxygen sensor. Hakuna na sijui wewe umetoa wapi hiyo.

Masega yana kazi yake na sensor ina kazi yake. Nilichokataa ni kusema eti hiyo sensor inafanya tu monitoring na hivyo masega yakitolewa inakuwa haina kazi. Kitu ambacho si kweli.

Haya tena unazungumzia sensor ya gearbox. Ni wapi mimi nimetaja sensor ya gearbox?

We have a long way to go.
 
Baada ya hayo masega gari huwa inafungwa Oxygen sensor. Unajua kazi yake?

Ulaji wa mafuta lazima uwe affected sababu hiyo ndio sensor inapima content ya Oxygen iliyopo kwenye moshi na signal yake huwa inatumika kuamua ni mafuta kiasi gani yaingine kwenye engine.
Mzee baba unabisha hukusema baada ya masega gari huw a inafungwa oxygen sensor?

Maandishi yanaishi na hapo ndo uliposema.

Unanipa njaa tu wewe...... Swali linataka ujibu mstari mmoja wewe unaandika essay ya maneno 300 na mwisho wa siku unachanganya vitu.

Sijibu tena quote yako

Sent from my Redmi S2 using JamiiForums mobile app
 
Mzee baba unabisha hukusema baada ya masega gari huw a inafungwa oxygen sensor?

Maandishi yanaishi na hapo ndo uliposema.

Unanipa njaa tu wewe...... Swali linataka ujibu mstari mmoja wewe unaandika essay ya maneno 300 na mwisho wa siku unachanganya vitu.

Sijibu tena quote yako

Sent from my Redmi S2 using JamiiForums mobile app
It is sad kwamba unashidwa kutofautisha neno baada na badala.

Okay fine narudia tena baada ya masega inafungwa Oxygen sensor. Je ni uongo?
 
Gari yangu niliipeleka gereji kupigwa rangi gari nzima. Nilipoenda kuichukua, nikaona sauti ya muffler imebadilika. Nimeitumia kama mwezi, naona sauti inazidi kuwa kubwa. Jana nikawa napiga story na fundi wa injini, tukaongea kuhusu masega. Akasema huenda washanizidi ujanja maana yana pesa sana. Akasema kwa mfano masega ya kwenye Brevis (mimi nina gari tofauti) ukiyauza unaweza pata hadi sh milioni 1 sababu yako tofauti. Sasa leo ninaenda kwa fundi wa exhaust system aangalie catalytic converter na muffler, tujue mbivu na mbichi.
 
Nimekupenda bure.. bado hujapata gari ila unajua hadi kupress bush... sikutegemea kusikia hilo neno kwa mdada.. nakumbuka kuna chalenge ilitolewa kwenye party moja kwa wadada 20 wenye magari.. atakaepatia kucheki oil ya gear box anapata zawadi laki 3... wote walishindwa walipofunguliwa bonet ya gari zao
Yaani kuchomoa pale wakashindwa?
 
Mkuu mbona gari zote zinatumia oxygen sensor na ni lazima, usitake kuniambia kwamba oxygen sensor inawekwa kureplace hayo masega.

Naomba tu nikufumbue ufahamu wako, gari yako ikiwa na hayo masega na oxygen sensor ikafa, moshi wake utakaotoka huko sio wa nchi hii.

Mfumo wa engine na combustion lazima uwe na oxygen sensor na kuanzia gari za mwaka 1996 manufacturers walilazimika kutumia secondary oxygen sensor kwa ajili ya ku monitor ufanyaji kazi wa masega. Sasa ukishatoa hayo masega oxygen sensor ina monitor kitu gani kama sio kuibia watu tu.

Tusi ingizwe chaka na mfundi kanjanja jamani

Sent from my Redmi S2 using JamiiForums mobile app
Msome polepole
 
Gari yangu niliipeleka gereji kupigwa rangi gari nzima. Nilipoenda kuichukua, nikaona sauti ya muffler imebadilika. Nimeitumia kama mwezi, naona sauti inazidi kuwa kubwa. Jana nikawa napiga story na fundi wa injini, tukaongea kuhusu masega. Akasema huenda washanizidi ujanja maana yana pesa sana. Akasema kwa mfano masega ya kwenye Brevis (mimi nina gari tofauti) ukiyauza unaweza pata hadi sh milioni 1 sababu yako tofauti. Sasa leo ninaenda kwa fundi wa exhaust system aangalie catalytic converter na muffler, tujue mbivu na mbichi.
Washakupiga hao, na kwa muda uliotumia gari watakukataa, huwez kuwafanya chochote
 


Yaani sisi wadada kuna huyo rafiki ni boonge la sista duu ye gari yake anajua kuwasha na kuondoka tu, service hizi anamuita fundi anaondoka nalo sijui kama gari yake haijatolewa hayo masega[emoji849] kuna siku anatembea na gari kumbe haina maji kabisa aisee boyfriend ndiyo akagundua kumuambia atachoma engine dah.

Siku nikipata gari hata kupress bush naenda mwenyewe[emoji3][emoji3] pia full kulinda masega ya gari yangu.
Mkuu ukumbuke kulinda na nanliiii wasijefunua kizibo cha asali! Alisikika mlevi mmoja,mwisho wa kunukuu.
 
Utupe mrejesho mkuu!
Gari yangu niliipeleka gereji kupigwa rangi gari nzima. Nilipoenda kuichukua, nikaona sauti ya muffler imebadilika. Nimeitumia kama mwezi, naona sauti inazidi kuwa kubwa. Jana nikawa napiga story na fundi wa injini, tukaongea kuhusu masega. Akasema huenda washanizidi ujanja maana yana pesa sana. Akasema kwa mfano masega ya kwenye Brevis (mimi nina gari tofauti) ukiyauza unaweza pata hadi sh milioni 1 sababu yako tofauti. Sasa leo ninaenda kwa fundi wa exhaust system aangalie catalytic converter na muffler, tujue mbivu na mbichi.
 
Back
Top Bottom