Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Bongo wewe leta gari yoyote iwe ina vigezo vya Euro Emmision Regulation 1/2/3/4/5/6 .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba nikujibu...Mafundi wa magari maswali yangu mbona sijibiwi?
Ni kweli ukishaibiwa hayo masega gari inaharibika?Kwa nini?
Na kwanini ni Brevis Tu zinaibiwa hayo masega???
Umetupa jibu zuri sanaNaomba nikujibu...
Si Brevis tu zinazoibiwa hayo masega, gari lolote hata Passo wanaiba bora tu mazingira ya wizi yawe yamekaa vizuri.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Umetupa jibu zuri sana
We jamaa umeelezea vizuri aione JituMirabaMinne .Naomba nikujibu.
Nilivyoelewa mimi Kwa gari na gari.We jamaa umeelezea vizuri aione JituMirabaMinne .
Anabisha oxygen sensor haisaidii combustion system...
Pamoja mkuu..kile kidogo mtu unachokifahamu ,tunakiweka hapa kisaidie wengineWe jamaa umeelezea vizuri aione JituMirabaMinne .
Anabisha oxygen sensor haisaidii combustion system...
Ndio kwa gari nyingine ambazo sensor inawasiliana na Engine Computer Unit au ECU ni lazima mwisho wa siku isababishe malfunction sababu inapeleka signal ya uongo.Nilivyoelewa mimi Kwa gari na gari
Mfano Brevis zinaharibika kabisa yakiondolewa hayo masega.
Wakati IST pengine sio sana
Hahahha..pole mkuu...ulikula nao sahani moja wakaona salama yao waine kwingime wakuwekee wewe..Kila gari wanaiba mimi nikiwa Dodoma mwka 2015 nlilaza Mark II GR namba AAA gereji jamaa waliiba,
gari likabadilisha mlio nikawastukia wakaenda kuiba kwingine wakanirudishia...
Bora mafundi, mbinde gari yako ilale Polisi wiki, utakuta hadi redio hakuna ukiuliza wanakuambia ulimkabidhi nani?Hahahha..pole mkuu...ulikula nao sahani moja wakaona salama yao waine kwingime wakuwekee wewe.
Kwa ujumla bongo, polisi si sehemu salama ya kulala wewe mwenyewe au kulaza mali yako......Jamaa wahuni sanaBora mafundi, minde gari yako ilale Polisi wiki, utakuta hadi redio hakuna ukiuliza wanakuambia ulimkabidhi nani?
Kuna mchizi wangu huohuko Dom gari yake ilikamatwa ikakaa siku mbili ile anaenda kuitoa akakuta washaiba fog light na wakabadilisha redio ya screen wakamuwekea nyingine mbovu ila anafatilia wakamchimba biti. kwakua hakutaka makuu akasameheKwa ujumla bongo, polisi si sehemu salama ya kulala wewe mwenyewe au kulaza mali yako......Jamaa wahuni sana
Noma sana...hao ndiyo watu wanaolinda uslama wa raia na mali zao...Kuna mchizi wangu huohuko Dom gari yake ilikamatwa ikakaa siku mbili ile anaenda kuitoa akakuta washaiba fog light na wakabadilisha redio ya screen wakamuwekea nyingine mbovu ila anafatilia wakamchimba biti. kwakua hakutaka makuu akasamehe
We jamaa umeelezea vizuri aione JituMirabaMinne .
Anabisha oxygen sensor haisaidii combustion system.
Anyway nimepata madini mengine ambayo nilikua siyajui.
Tupo kwenye page moja.
Sent from my Redmi S2 using JamiiForums mobile app
Nilivyoelewa mimi Kwa gari na gari
Mfano Brevis zinaharibika kabisa yakiondolewa hayo masega.
Wakati IST pengine sio sana
Aiseeeee. Hebu nikuambie kitu kimoja. Katika gari kila sensor unayoijua signal yake lazima inatumika mahali. Siyo tu kumonitor halafu basi.Yes
The only impact inayoweza kutokea sababu ile ni sensor ukiitoa itawasha taa ya engine. Na magari yenye mfumo huo ni kuanzia 1996 kuendelea.
Sensor hiyo kazi yake ni kumonitor efficiency ya catalyst converter sasa kama hayo masega yametolewa itafanya kazi gani?
Sent from my Redmi S2 using JamiiForums mobile app
Kwa kizungu inaitwa catalyst inafanya kemikali zingine kureact nayo pasipo yenyewe kunadilika.