yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Ni gari zote sio brevis tu. Niliona jamaa aliuza robo tatu yaan ¾kg kwa elfu 90
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je wakishayaiba mie mwenye gari nitajuajeSio brevis boss ni magari karibu yote tu, nimeshaona Ist, raum, mark x, crown n.k.
Alteza tu ndo nasikia haikuwekwa madini hayo wameweka material tofauti...
Nasikia yakishatolewa kwanza linaongeza ulaji mafuta na pia linakuwa halina nguvu kama awali. Hizo ni dalili za mwanzoNimeambiwa Brevis ikishatolewa hayo masega inaharibika kabisa baada ya mda
The way unavyoongea ni kama unaweza ibiwa na gari isibadilike chochote..
Nashindwa kabisa ku elewa hapa
Hapa ndo napatakaNasikia yakishatolewa kwanza linaongeza ulaji mafuta na pia linakuwa halina nguvu kama awali. Hizo ni dalili za mwanzo
Hili swali pia wataalam mtujibuJe wakishayaiba mie mwenye gari ntajuaje
Gari ikitolewa hayo masega mlio unabadilika vile vile itaathirika kidogo kwenye nguvu maana compression ya injini inapungua kidogo, ila hai haribiki kama ulivyo ambiwa boss.Nimeambiwa Brevis ikishatolewa hayo masega inaharibika kabisa baada ya mda
The way unavyoongea ni kama unaweza ibiwa na gari isibadilike chochote..
Nashindwa kabisa ku elewa hapa
Usiseme magari mengine hayanaNaomba wataalam mtujibu maswali yot
Why za Brevis ndo zinaibiwa sana?
Magari mengine hayana??
Halafu ni kweli gari inaharibika ikishatolewa
Hiyo?Why?
Sidhani km Altezza haikuwekwa hiyo kitu ,nilisoma somewhere humu kuhusu hiyo kitu kwenda kuchunguza Altezza yangu nakuta imechomelewa exhaust, nikajaribu kukumbuka ni lini ilipata shida ya exhaust sikukumbuka nikajua wataalamu wameshapita Nayo.Sio brevis boss ni magari karibu yote tu, nimeshaona Ist, raum, mark x, crown n.k.
Alteza tu ndo nasikia haikuwekwa madini hayo wameweka material tofauti...
Upo sahihi, ulaji wa mafuta utaongezeka kidogo kwa kuwa compression ya injini itapungua na kupelekea gari kupungua nguvu kidogo pia. Kama ulikuwa unatumia lita moja kwa km 12 basi huenda ikashia 10Nasikia yakishatolewa kwanza linaongeza ulaji mafuta na pia linakuwa halina nguvu kama awali. Hizo ni dalili za mwanzo
Mkuu gari linakua zito sana wakati unapiga raceJe wakishayaiba mie mwenye gari ntajuaje
Ukiwasha gari yako ukapiga race ule mshale wa rpm haufiki mwisho unaishia katikati tu na gari inakua nzito mno wakati inatembea...Hili swali pia wataalam mtujibu
Unaweza kuqa sahihi boss, ndo maana hata mm nilisema kuwa nilisikia hvyo, maana aliye niambia hvyo ni kati ya watu wanafanya hyo michezo, labda kuna baadhi ya Alteza hazina.Sidhani km Altezza haikuwekwa hiyo kitu ,nilisoma somewhere humu kuhusu hiyo kitu kwenda kuchunguza Altezza yangu nakuta imechomelewa exhaust, nikajaribu kukumbuka ni lini ilipata shida ya exhaust sikukumbuka nikajua wataalamu wameshapita Nayo.
Aisee nilikua sijui kama gari ikitolewa masega inaharibika, nilijua ni uchafu tu 😳😳 wadada wa mjini na magari yao wanajua hata masega nini kweli 😛
Tena wadada ndo wanapigwa na hawagundui miaka mia, maana wadada wanatabia ya kumpa gari fundi akafanye service huku yy akiendelea na mishe nyingine home, hayo mambo kwa sasa wadada muache, pleka gar gereji simamia show mwanzo mwisho hadi uondoke na gari yako.Aisee nilikua sijui kama gari ikitolewa masega inaharibika, nilijua ni uchafu tu [emoji15][emoji15] wadada wa mjini na magari yao wanajua hata masega nini kweli [emoji14]
Mi sijui mkuu. Tusubiri wataalam waje.Hapa ndo napataka
Je solution ikoje??
Brother unataka ufike mwisho upasue engine?Ukiwasha gari yako ukapiga race ule mshale wa rpm haufiki mwisho unaishia katikati tu na gari inakua nzito mno wakati inatembea...
Very simpo kujua umeibiwa hayo madude
Hapa siwezi kukubaliana na wewe, kuna wadau mwanzo wamesema kazi yake kubwa ni kupunguza emission ya gas chafu ili kupunguza uchafuzi wa mazingira. Ndo maana watu wamekua wakitumia magari bila hata kufahamu kama wamepigwa.Nasikia yakishatolewa kwanza linaongeza ulaji mafuta na pia linakuwa halina nguvu kama awali. Hizo ni dalili za mwanzo
Yaani sisi wadada kuna huyo rafiki ni boonge la sista duu ye gari yake anajua kuwasha na kuondoka tu, service hizi anamuita fundi anaondoka nalo sijui kama gari yake haijatolewa hayo masega🙄 kuna siku anatembea na gari kumbe haina maji kabisa aisee boyfriend ndiyo akagundua kumuambia atachoma engine dah.Tena wadada ndo wanapigwa na hawagundui miaka mia, maana wadada wanatabia ya kumpa gari fundi akafanye service huku yy akiendelea na mishe nyingine home, hayo mambo kwa sasa wadada muache, pleka gar gereji simamia show mwanzo mwisho hadi uondoke na gari yako...