Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa hii kitu ni dili mbayaUsithubutu kulaza gari gereji bubu lazma waibe hio kitu
Nasikia zinatumika kutengenezea madawa ya kulevya, hasa baada ya udhibiti wa uingizaji wa madawa hayo, wanatengeneza kwa namna gani sijui? Yanauzwa kwa zaidi ya Sh. 450,000/=. Niligundua hili baada ya kuona gari la jamaa yangu linatoa sauti mbaya, wale mafundi wakasema hivyo.Ni kweli kabisa hii kitu ni dili mbaya
Dalili au mabadiliko gani huonesha kuwa tayari yamenyofolewa kwenyw gari?Nasikia zinatumika kutengenezea madawa ya kulevya, hasa baada ya udhibiti wa uingizaji wa madawa hayo, wanatengeneza kwa namna gani sijui? Yanauzwa kwa zaidi ya Sh. 450,000/=. Niligundua hili baada ya kuona gari la jamaa yangu linatoa sauti mbaya, wale mafundi wakasema hivyo.
TAHADHARI:
Usipeleke gari lako katika magereji ya vichochoroni, au linapotengenezwa usikae mbali, pia paki eneo lenye ulinzi wa kuaminika. Kuchomoa hiyo kitu ni dakika tano tu.
Mlio wa fujo za altezza au subaruDalili au mabadiliko gani huonesha kuwa tayari yamenyofolewa kwenyw gari?
Inauzwaje?Hio no Catalyst Converter ni unga unga mweusi unakua upo kwenye exhaust system ya gari hapo suluhisho ni kununua catalyst converter ya gari husika tafuta gari ya aina hio iliopata tatizo jingine ununie hio
Unaweza ukabahatisha sehemu wanazochinja magari kwa mfano tandale kule pia hao wanaoiba wanaenda kuuza unaweza ukabahatisha wapaouza spare za magari pia..ilitolewa kwa chini inakua imeungwa ungwa kuna uzi wa mdau humu umeonesha iliotolewa inavyokuaInauzwaje?
Kama zinaibiwa zote unaweza pata ambayo
Haijaibiwa huo unga??
Kwa kizungu inaitwa catalyst inafanya kemikali zingine kureact nayo pasipo yenyewe kunadilika. Inatumika kubadilisha moshi wa sumu kutoka katika engine kuwa gesi ya carbon dioxide na maji.
Ikiondolewa hiyo mnakua mnatuongezea sumu tu kwenye hewa na kuharibu ozone, ndo maana dar joto 😁
Hebu weka link plzUnaweza ukabahatisha sehemu wanazochinja magari kwa mfano tandale kule pia hao wanaoiba wanaenda kuuza unaweza ukabahatisha wapaouza spare za magari pia..ilitolewa kwa chini inakua imeungwa ungwa kuna uzi wa mdau humu umeonesha iliotolewa inavyokua
Kazi yake kubwa ni nini au unaleweshaHuo unga mafundi wengi wakiuza kibongo bongo wanapata laki ya fasta, kwa nchi kama zimbabwe na south africa kuna makampuni unaweza kuwauzia huo unga kitu kinachopelekea watu wanakufata kabisa ukiwa umepaki gari, wana dola 200 mkononi ( laki nne na ushehe) wanakuomba wautoe huo unga kwenye, wao wanaenda kuuzia makampuni, Kiufupi wanaonunua huu unga hapa bongo kwa hizi laki wanazowapa mafundi wezi, wao wanaenda kuuza sauzi au zimbabwe kwa faida kubwa zaidi
Lakini Tanzania converter ya nini wakati hakuna sheria ya kulazimisha kutumia converter
Sio brevis boss ni magari karibu yote tu, nimeshaona Ist, raum, mark x, crown n.k.Naomba wataalam mtujibu maswali yot
Why za Brevis ndo zinaibiwa sana?
Magari mengine hayana??
Halafu ni kweli gari inaharibika ikishatolewa
Hiyo?Why?
Sio brevis boss ni magari karibu yote tu, nimeshaona Ist, raum, mark x, crown n.k.
Alteza tu ndo nasikia haikuwekwa madini hayo wameweka material tofauti...